Crypto currency inalipa

Crypto currency inalipa

Ibrah james

New Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
4
Reaction score
3
Jamani vijana hii fursa ya kujifunza ni nzuri kwa vijana kujipatia kipato acheni platform za matapeli jifunzen hizi ni zinalipa
a04937c92a06fed7b04d3d8b97055fb0.jpg
 
Funguka zaidi zinalipaje na zina uhusiano gani na crypto. You left all things hanging!!!
Yeye mwenyewe hajui kitu, kaishia kupost Candlesticks alafu kakimbia. Hizo mkuu ni Candlesticks ambazo huonesha price movements kwenye financial charts. Mambo sio rahisi kama mleta uzi anavyotaka kuwaaminisha watu. Inahitaji kutulia kusoma na kujifunza. In short sio Get Rich Quick Scheme. Ila ukiingia kichwakichwa kwenye hayo mambo utakutana na matapeli wengi mno.
Kama upo interested kujifunza mwenyewe bure kabisaa bila kutoa hata senti tano basi ingia hapo www.teachyourselfcrypto.com uhitaji kulipa pesa yoyote kwa mtu yoyote ili kujifunza Cryptocurrency na biashara zake. There are a lot of free resources online haswa youtube.
Tafadhali.. Usijiunge na any paid group ni matapeli.
 
Yeye mwenyewe hajui kitu, kaishia kupost Candlesticks alafu kakimbia. Hizo mkuu ni Candlesticks ambazo huonesha price movements kwenye financial charts. Mambo sio rahisi kama mleta uzi anavyotaka kuwaaminisha watu. Inahitaji kutulia kusoma na kujifunza. In short sio Get Rich Quick Scheme. Ila ukiingia kichwakichwa kwenye hayo mambo utakutana na matapeli wengi mno.
Kama upo interested kujifunza mwenyewe bure kabisaa bila kutoa hata senti tano basi ingia hapo www.teachyourselfcrypto.com uhitaji kulila pesa yoyote kwa mtu yoyote ili kujifunza Cryptocurrency na biashara zake. There are a lot of free resources online haswa youtube.
Tafadhali.. Usijiunge na any paid group ni matapeli.
Sijui sijui kitu mkuu nia yangu watu wajiulize na waulize na waweze kutambua, maana sio kila mtu anamoyo wa kujifunza , mm nimesoma 4 yrs na nina experience 12yrs on market bro natrade noth volatility na currency, nafanya bitcoin mining ethereum zote.. nakadhalika hii ni kutaka kufanya vijana wajue wanaweza kutumia muda wao wa ziada kujifunza
 
Sijui sijui kitu mkuu nia yangu watu wajiulize na waulize na waweze kutambua, maana sio kila mtu anamoyo wa kujifunza , mm nimesoma 4 yrs na nina experience 12yrs on market bro natrade noth volatility na currency, nafanya bitcoin mining ethereum zote.. nakadhalika hii ni kutaka kufanya vijana wajue wanaweza kutumia muda wao wa ziada kujifunza
Sorry sikukuelewa, ilala sasa nikwambie Kitu Mkuu, piga kimya tu. Hapa utaishia kuitwa tapeli. Tupo kwenye jamii ambayo watu hawako tayari kujifunza. Utapoteza muda wako bure.
If you are doing it and you are profitable, do it for yourself and your family PERIOD.
 
Dogo anapenda attention.yaani akiwa tajiri yule dogo atatunyea ujue. Anajiona Kama ana akili kuliko watanzania wote.
Sasa mchalenji ama umwambie ukweli kidogo uone anakupiga block
Hahahaha.. Followers wake wengi ni madogo wa high school na chuo na walugaluga wenzie.
Ukishaona mtu anajifanya mjuaji na tajari alafu akivaa Koti la Suti au Blazer anaacha label basi ujue ni mshamba bado.
 
ww mtoa mada umeshajaribu au umejiskia kusema tu inalipa nijuavyo hakuna mchingo wa pesa ukakuta unazagaa mitamdaoni.
ushawah kusikia dili la kununua milima na kuanza kuuza mali ghafi zinzopatikana kama mchanga mawe kokoto mbona dili kama hilo halizagai mtandaoni?
tujifunze hakuna naaetaka awe chini ya mwenzake hasa hapa bongo hivyo tujaribu kukaa karibu na wenye hela watatuelekeza namna hela inavyotafutwa na ramani zake ila humu mtandaoni ni ngumu sana kutoboa kwa mchongo wa humu
 
Sorry sikukuelewa, ilala sasa nikwambie Kitu Mkuu, piga kimya tu. Hapa utaishia kuitwa tapeli. Tupo kwenye jamii ambayo watu hawako tayari kujifunza. Utapoteza muda wako bure.
If you are doing it and you are profitable, do it for yourself and your family PERIOD.
Dogo mkaldayo zama Chaka ukalime Alizeti na ufuta inalipa kichiz kuliko crypto
 
Sijui sijui kitu mkuu nia yangu watu wajiulize na waulize na waweze kutambua, maana sio kila mtu anamoyo wa kujifunza , mm nimesoma 4 yrs na nina experience 12yrs on market bro natrade noth volatility na currency, nafanya bitcoin mining ethereum zote.. nakadhalika hii ni kutaka kufanya vijana wajue wanaweza kutumia muda wao wa ziada kujifunza
Wewe ni muhaya
 
Back
Top Bottom