CS Sfaxien ni timu Mbovu Simba Tushindwe Wenyewe

CS Sfaxien ni timu Mbovu Simba Tushindwe Wenyewe

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Hawa CS Sfaxien ni timu mbovu kwenye Mechi 5 zilizopita hajapata ushindi wa sare kafungwa zote

Mnyama mkali uwanjani na kiboko ya warabu anaenda kushusha kipigo kizito ugenini na Kuongoza kundi kibabe

Sisi hatuna mahesabu ya kimasikini eti fulani afungwe sisi tushinde haya ni mahesabu ya timu changa zinazojitafuta kwenye michuano ya kimataifa kama utopolo

#Ubaya ubwela NguvuMoya
Screenshot_20250105-003642.jpg
 
Hawa CS Sfaxien ni timu mbovu kwenye Mechi 5 zilizopita hajapata ushindi wa sare kafungwa zote

Mnyama mkali uwanjani na kiboko ya warabu anaenda kushusha kipigo kizito ugenini na Kuongoza kundi kibabe

Sisi hatuna mahesabu ya kimasikini eti fulani afungwe sisi tushinde haya ni mahesabu ya timu changa zinazojitafuta kwenye michuano ya kimataifa kama utopolo

#Ubaya ubwela NguvuMoyaView attachment 3192879
Mpira ni dakika 90, kwakutegemea viwango vya wachezaji, mbinu za mwalimu, nishati ya wachezaji, utimamu wa akili hapo inahusu wahusika wote pamoja na nyie mashabiki, (wanazi)
 
Hawa CS Sfaxien ni timu mbovu kwenye Mechi 5 zilizopita hajapata ushindi wa sare kafungwa zote

Mnyama mkali uwanjani na kiboko ya warabu anaenda kushusha kipigo kizito ugenini na Kuongoza kundi kibabe

Sisi hatuna mahesabu ya kimasikini eti fulani afungwe sisi tushinde haya ni mahesabu ya timu changa zinazojitafuta kwenye michuano ya kimataifa kama utopolo

#Ubaya ubwela NguvuMoyaView attachment 3192879
Mikia mnacheza michuano ipi mpaka ujiringanisha na timu za michuano mikubwa?
 
Hawa CS Sfaxien ni timu mbovu kwenye Mechi 5 zilizopita hajapata ushindi wa sare kafungwa zote

Mnyama mkali uwanjani na kiboko ya warabu anaenda kushusha kipigo kizito ugenini na Kuongoza kundi kibabe

Sisi hatuna mahesabu ya kimasikini eti fulani afungwe sisi tushinde haya ni mahesabu ya timu changa zinazojitafuta kwenye michuano ya kimataifa kama utopolo

#Ubaya ubwela NguvuMoyaView attachment 3192879
Nyie wote ni pipa na mfuniko, sio sfaxien Wala Simba Wenye ubora,Simba inategemea magoli ya ndondokela ndio ishinde, sfaxien nao Awana tofauti na kengold ni timu mbovu vile vile kwaiyo timu itayokuwa na kaunafuu ndio itashinda lakini siioni Simba akishinda iyo mechi labda droo,, safu yenu ya ushambuliaji kwenye mechi 5 zilizopita imepata magoli ya bahati bahati tu na sio magoli ya kutengeneza kwenye open play, ivyo bado mna shida kubwa!
 
Pambaneni mpate penalty vinginevyo ni mateso
Wao wameshakuwa mabingwa wa kusubilia aina iyo ya magoli ama refa apewe kibunda aruhusu goli la offside,,timu ya aina iyo lazima ipate shida kubwa kufunga magoli halali kwasababu awawezi kutengeneza nafasi za kufunga na Awana watu wachezaji Wenye uwezo wa kutengeneza hizo nafasi
 
Hawa CS Sfaxien ni timu mbovu kwenye Mechi 5 zilizopita hajapata ushindi wa sare kafungwa zote

Mnyama mkali uwanjani na kiboko ya warabu anaenda kushusha kipigo kizito ugenini na Kuongoza kundi kibabe

Sisi hatuna mahesabu ya kimasikini eti fulani afungwe sisi tushinde haya ni mahesabu ya timu changa zinazojitafuta kwenye michuano ya kimataifa kama utopolo

#Ubaya ubwela NguvuMoyaView attachment 3192879
Dakika 90 zitazungumza, na sio hizo propaganda zako. Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom