asante mi naishi kimara mkuu.Masana Mbezi beach,Kinondoni
kwa Dr Mvungi.Wewe unaishi maeneo gani tukutajie yakaribu kabisa au au
ambayo nirahisi kufika?
asanteAgha khan pia wanatoa huduma, sina hakika foleni yake inakuwaje.
Sioni unafuu wowote as long as dawa zinatolewa bure.. hata huko private utakuta foleni ya kutosha tu.