Elections 2010 CUF Inaongoza Katika Kura za Maoni Zanzibar

Shamu

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2008
Posts
510
Reaction score
44
Katika utafiti uliofanywa kwa muda mrefu na vyombo vya habari vya kimataifa, inaonesha kwamba CUF itapata ushindi mkubwa Zanzibar. Vyombo hivyo vya kimataifa bado vinajiuliza je CCM, wataachia Madaraka?
CCM ni chama pekee ambacho kinaongoza kwa muda mreufu katika nchi zinazofuata mfumo wa vyama vingi. Nchi nyingi za kimataifa zinataka CUF ipewe madaraka Zanzibar iwapo watashinda, ili iwe changamoto kwa CCM.
Je CCM wataachia Madaraka Zanzibar? Je CUF wamejiandaa na mpango gani kama hawatopewa Nchi na CCM?
 
Takwimu za kura hiyo ya maoni iko wapi? Tuache kuleta taarifa nusunusu jamani............kama ni maoni yako binafsi uwe wazi badala ya kuegemea "vyombo vya habari vya kimataifa" ili kuipa uzito wa kuaminika hii habari yako
 
Hata bila chanzo ban a Shein zoba san a ban a hawed kuwa rais
 

wataachia madaraka tu CCM. Shein hana jipya.
 
Hiki kijiwe kinahitaji data siyo polojo tu!

Pamoja na hayo:

Tunawatikia heri. CUF Zanzibar, CHADEMA bara = Serikali tatu
 
Hiki kijiwe kinahitaji data siyo polojo tu!

Pamoja na hayo:

Tunawatikia heri. CUF Zanzibar, CHADEMA bara = Serikali tatu

Huu ndiyo wakati wa kuwa pamoja. CCM ikiachia Znz basi itaweza kuachia bara, baada ya miaka kama 20 inayokuja.
 
Wapiga kura watarajiwa wa zenj ni laki 4 na watakaojitokeza siku ya kupiga kura ni laaki 3,kwa hiyo viva cuf
 
Wapiga kura watarajiwa wa zenj ni laki 4 na watakaojitokeza siku ya kupiga kura ni laaki 3,kwa hiyo viva cuf

Mwaka huu kuna dalili kwamba CUF itashinda kwa nguvu sana.
 
hamna mwaka huu ndio inaaanguka vibaya maana wanapoteza hadi baadhi ya viti kwenye ngome yake kuu
 
hamna mwaka huu ndio inaaanguka vibaya maana wanapoteza hadi baadhi ya viti kwenye ngome yake kuu

WanaCCM wengi hawamkubali Dr. Shein. Kuna asilimia kubwa ya Wazanzibari wengi wanahoji tangu awepo katika CCM, Dr Shein hajafanya jambo lolote la kuisadia Zanzibar. Kitu ambacho kitafanya huyu jamaa ashindwe vibaya.
 
Wengi wa wanaccm Zanzibar wanajua kuwa Shein ni pandikizi la mafisadi wa ccm bara,si chaguo la Wazanzibari.
 
Shein atatumiwa vibaya sana na CCM kuliko marais wote waliopita ZNZ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…