Uchaguzi 2020 CUF: Mgombea Ubunge Morogoro Mjini, Abeid Mlapakolo alivamiwa, kuvunjwa mkono na kuporwa fomu za uteuzi akiwa eneo la ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi

Kumbe na nyie mnatekwa na kuvunjwa mikono? Leo sinimemuona Makamu Mwenyekiti Zanzibar anasema Maalim Seif ni mchochezi waZanzibari wamkatae analeta vurugu?
 
Watu wa Morogoro siwaonei hata huruma, bado mnakumbatia magabachori na wanapita bila kupingwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…