CUF.NCCR Mageuzi, asasi za dini, wasiofungamana na upande wowote.

CUF.NCCR Mageuzi, asasi za dini, wasiofungamana na upande wowote.

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Natoa rai kwa vyama vyote vyenye wajumbe ndani ya bunge la katiba mpya (except ccm), pamoja na wajumbe wenye mapenzi mema na nchi hii kususia vikao vya bunge la katiba pale tu itakapokuwa imethibitika kuwa Mkuu wa kaya katoa mwongozo wa kuratibu utumiaji wa kura ya wazi. Jiondoeni ili tuelewe wazi kuwa katiba inayoandaliwa ni ya ccm wala si Watanzania.
 
Mkuu wataweza? 300000 kwa siku sio mchezo mkuu! Watu wako mjengoni kwa mshiko na sio kwa maslahi ya taifa hata kidogo! Katiba mpya ni ndoto, mchana kikwete anasema hivi, katiba ni ya wananchi, usiku anasema katiba ni ya wanaccm!
 
Mkuu wataweza? 300000 kwa siku sio mchezo mkuu! Watu wako mjengoni kwa mshiko na sio kwa maslahi ya taifa hata kidogo! Katiba mpya ni ndoto, mchana kikwete anasema hivi, katiba ni ya wananchi, usiku anasema katiba ni ya wanaccm!

Hilo nalo neno mkuu
 
Hawawezi hao waliomo humo ndani!!!!!
Wewe wa nje unawaza hivyo wao wanaoona ndio walitakiwa wawe wa kwanza kuweka hiyo condition kabla hata hili halijakuwa hivi,wangeweka msimamo mapema!!!!!
 
Natoa rai kwa vyama vyote vyenye wajumbe ndani ya bunge la katiba mpya (except ccm), pamoja na wajumbe wenye mapenzi mema na nchi hii kususia vikao vya bunge la katiba pale tu itakapokuwa imethibitika kuwa Mkuu wa kaya katoa mwongozo wa kuratibu utumiaji wa kura ya wazi. Jiondoeni ili tuelewe wazi kuwa katiba inayoandaliwa ni ya ccm wala si Watanzania.
Naunga hoja
 
Mkuu wataweza? 300000 kwa siku sio mchezo mkuu! Watu wako mjengoni kwa mshiko na sio kwa maslahi ya taifa hata kidogo! Katiba mpya ni ndoto, mchana kikwete anasema hivi, katiba ni ya wananchi, usiku anasema katiba ni ya wanaccm!

hilo nalo neno
 
Hawawezi kufanya hivyo hao, wapo kimaslahi zaidi. Hatutapata kitu cha maana kutoka katika bunge hili,,
 
chonde chonde wajumbe wa bunge maalum, huu ni wakati wa badiliko. Kuweni na misimamo binafsi na sio kuendeshwa na watawala kwa maslai binafsi.
 
wakisimama pamoja wataweza. Mfano mdogo ni , Mh. Sitta alipokuja zanzibar na rasimu yake, watu waliikataaa. Na Mh. Sitta akarudi na rasimu yake kwa JK. Kwa hivo, bila shaka hakuna lisilowezekana. Ni kujipanga vizuri tu.
 
Back
Top Bottom