Pre GE2025 CUF, NCCR Mageuzi na ACT Wazalendo ndio vyama vya upinzani vilivyo tayari kuikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu

Pre GE2025 CUF, NCCR Mageuzi na ACT Wazalendo ndio vyama vya upinzani vilivyo tayari kuikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa namna ya pekee sana, Chadema wameamua kujimaliza wenyewe kwa kujiengua na kususia uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, na kukwepa kisayansi aibu ya kushindwa vibaya sana na chama Tawala CCM.

Hali hiyo inamaanisha kwamba,
vyama vya CUF, NCCR MAGEUZI, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya upinzani nchini, ndivyo vitakavyoipa CCM changamoto kwenye sanduku la kura katika uchaguzi mkuu wa October, kwasababu ndivyo vyama vya kidemokrasia vilivyodhamiria kushiriki uchaguzi mkuu huo kikamilifu kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Licha ya kushiriki uchaguzi huo, ni wazi, kwa maandalizi wanayoyafanya mpaka sasa, na athari za usaliti zinazowatafuna tangu kusambaratika kwa UKAWA, vyama hivyo vya siasa, sioni dalili hata moja kwamba vinaweza kushinda hata kiti kimoja cha udiwani au ubunge. Na hata chadema wangeshiriki uchaguzi huo, hali ingekua ni hiyo hiyo.

Ndugu zangu dau wa siasa katika jukwaa hili la heshma sana, kwa tathmini zenu fupi sana, na kwa kuzingatia ushawishi wa vyama hivyo kwa wananchi, unadhani katika ujumla wao, wanaweza kupata zaidi 3% ya kura zote baada ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025?

Na kama wanaweza, ni kivipi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Bila shaka hujawahi kufanya utafiti /research sehemu popote pale dunani
 
Kwa namna ya pekee sana, Chadema wameamua kujimaliza wenyewe kwa kujiengua na kususia uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, na kukwepa kisayansi aibu ya kushindwa vibaya sana na chama Tawala CCM.

Hali hiyo inamaanisha kwamba,
vyama vya CUF, NCCR MAGEUZI, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya upinzani nchini, ndivyo vitakavyoipa CCM changamoto kwenye sanduku la kura katika uchaguzi mkuu wa October, kwasababu ndivyo vyama vya kidemokrasia vilivyodhamiria kushiriki uchaguzi mkuu huo kikamilifu kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Licha ya kushiriki uchaguzi huo, ni wazi, kwa maandalizi wanayoyafanya mpaka sasa, na athari za usaliti zinazowatafuna tangu kusambaratika kwa UKAWA, vyama hivyo vya siasa, sioni dalili hata moja kwamba vinaweza kushinda hata kiti kimoja cha udiwani au ubunge. Na hata chadema wangeshiriki uchaguzi huo, hali ingekua ni hiyo hiyo.

Ndugu zangu dau wa siasa katika jukwaa hili la heshma sana, kwa tathmini zenu fupi sana, na kwa kuzingatia ushawishi wa vyama hivyo kwa wananchi, unadhani katika ujumla wao, wanaweza kupata zaidi 3% ya kura zote baada ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025?
Na kama wanaweza, ni kivipi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Watapata a few
 
Chadema imefanya a very big bet ambayo ina process ngumu sana kwenye utekelezaji wake. Hii bet hata CCM hawaitaki kwa sababu itawaacha na madoa zaidi. Hakuna picha kamili ya uchaguzu utakavyokuwa.

Amini bet ya CHADEMA itaacha madhara kwa pande zote na inawezekana CHADEMA wakafaidika zaidi na bet hii.

ACT Wazalendo wameshaonyesha nia kubwa ya kuiunga hii bet. Ikipata uungwaji wa CUF itakuwa ni upinzani against CCM.

Hoja ikiwa wapinzani against CCM itashake sana mchakato wa uchaguzi.
 
gentleman,
una maoni yoyote dhidi ya hoja mahususi mezani, ama hujaelewa?🐒
Bila shaka huawahi hata kuingia kwenye kituo cha kupigia na kuhesabia kura wewe. Na hujui lolote kuhusu uchaguzi HURU NA WA HAKI!
Una bwabwaja tu kama CHAWA
 
Kwa namna ya pekee sana, Chadema wameamua kujimaliza wenyewe kwa kujiengua na kususia uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, na kukwepa kisayansi aibu ya kushindwa vibaya sana na chama Tawala CCM.

Hali hiyo inamaanisha kwamba,
vyama vya CUF, NCCR MAGEUZI, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya upinzani nchini, ndivyo vitakavyoipa CCM changamoto kwenye sanduku la kura katika uchaguzi mkuu wa October, kwasababu ndivyo vyama vya kidemokrasia vilivyodhamiria kushiriki uchaguzi mkuu huo kikamilifu kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Licha ya kushiriki uchaguzi huo, ni wazi, kwa maandalizi wanayoyafanya mpaka sasa, na athari za usaliti zinazowatafuna tangu kusambaratika kwa UKAWA, vyama hivyo vya siasa, sioni dalili hata moja kwamba vinaweza kushinda hata kiti kimoja cha udiwani au ubunge. Na hata chadema wangeshiriki uchaguzi huo, hali ingekua ni hiyo hiyo.

Ndugu zangu dau wa siasa katika jukwaa hili la heshma sana, kwa tathmini zenu fupi sana, na kwa kuzingatia ushawishi wa vyama hivyo kwa wananchi, unadhani katika ujumla wao, wanaweza kupata zaidi 3% ya kura zote baada ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025?
Na kama wanaweza, ni kivipi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi ni lazima uanzishe thread? SI ungekaa kimya tu usikilizie maumivu ya mfungo wa Ramadhan
 
Hivi ni lazima uanzishe thread? SI ungekaa kimya tu usikilizie maumivu ya mfungo wa Ramadhan
Gentleman,
mfungo mtukufu wa ramadhan na kwaresema ni afya kwa mwili na roho za wanadamu wenye imani thabiti,

ni mateso kwa watu wavivu na watu wenye mihemko na makasiriko kwa mambo madogo madogo kama haya :NoGodNo:
 
Bila shaka huawahi hata kuingia kwenye kituo cha kupigia na kuhesabia kura wewe. Na hujui lolote kuhusu uchaguzi HURU NA WA HAKI!
Una bwabwaja tu kama CHAWA
kura ni siri ya mpiga kura,
uchaguzi huru, wa wazi na wa haki ni wajibu wa kikatiba wa Tume huru Ya Uchaguzi

ni zoezi la kidemokrasia lisilohitaji mbwembwe, makelele wala mdomo wa kibaka au tapeli yoyote wa kisiasa:NoGodNo:
 
Chadema imefanya a very big bet ambayo ina process ngumu sana kwenye utekelezaji wake. Hii bet hata CCM hawaitaki kwa sababu itawaacha na madoa zaidi. Hakuna picha kamili ya uchaguzu utakavyokuwa.

Amini bet ya CHADEMA itaacha madhara kwa pande zote na inawezekana CHADEMA wakafaidika zaidi na bet hii.

ACT Wazalendo wameshaonyesha nia kubwa ya kuiunga hii bet. Ikipata uungwaji wa CUF itakuwa ni upinzani against CCM.

Hoja ikiwa wapinzani against CCM itashake sana mchakato wa uchaguzi.
kwa maoni yangu,
kutokushiriki uchaguzi mkuu kwa chama chochote cha kisiasa miongoni mwa vyama vya siasa zaidi ya 20 nchini, kamwe hapatakua na athari za kisheria wala madhara yoyote ya kisiasa nchini,

Ilishawahi kutokea Zanzibar uchaguzi ulifutwa, kuna chama kilijidai ati kina nguvu kikasusia uchaguzi ule, na hapakua na athari zozote kisheria wala kisiasa mpaka Dr.Ali Mohamed Shein akamaliza kipindi chake cha uongozi kwa amani na salama,

Hapo Kenya tu,
Uchaguzi wa mwaka2017 ulifutwa, kuna chama kilijidai kina nguvu saaana kikasusa, uchaguzi ukaendelea, Uhuru Mwigai Kenyata akaongoza kwa salama na amani mpaka akamaliza muda wake.


sasa eti kibaka na tapeli wa kisiasa ambae hata uraia wake ni wa mashaka, na anatembea na tiketi ya ndege mfukoni standby kukwea pipa, hakuna atakaea thubutu kudanganyika na hadaa zake,
Uchaguzi utafanyika kwa salama na amni sana october:NoGodNo:
 
kura ni siri ya mpiga kura,
uchaguzi huru, wa wazi na wa haki ni wajibu wa kikatiba wa Tume huru Ya Uchaguzi

ni zoezi la kidemokrasia lisilohitaji mbwembwe, makelele wala mdomo wa kibaka au tapeli yoyote wa kisiasa:NoGodNo:
Ili uwe uchaguzi huru wa haki unatakiwa uwe na mambo gani? Au unafikir kwamba ukitumbukiza kura tu umemaliz. Ccm wanaiba kura na kuingia nazo kwenye vituo uchaguzi 2020 urejee halafu unataka watu wake kimya kisa chawa watapiga mayowe?
Ile vibrant opposition uliyokuwa una hubiri ni ya kina NDIYO MZEE?
2019, 2020, 2024 Kote kura ziliibiwa ushahidi upo
 
Kila mmoja anakiri taratibu za uchaguzi zinachangamoto katika katiba, sheria na kanuni na mchakato mzima.
Wanachopingana ni lini marekebisho yafanyike, CCM wakisema muda hautoshi na CDM wakisema ni Bora uchaguzi usogezwe mbele kwa kuwa hautakua huru na haki.
Ushauri ni kuzungumza na kuona kama ni uhakika uchaguzi unakua sio huru haina haja ya kuwa nao na kufanya marekebisho kama uchaguzi ni huru na haki basi ufanyike.
 
CHADEMA haijasema mchakato huu ni mwisho leo, ni kizazi na kizazi! Mpaka jambo hili litimie

Ili kuharakisha hili vyama vya upinzani viunge jitihada za CHADEMA
 
Kwa namna ya pekee sana, Chadema wameamua kujimaliza wenyewe kwa kujiengua na kususia uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, na kukwepa kisayansi aibu ya kushindwa vibaya sana na chama Tawala CCM.

Hali hiyo inamaanisha kwamba,
vyama vya CUF, NCCR MAGEUZI, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya upinzani nchini, ndivyo vitakavyoipa CCM changamoto kwenye sanduku la kura katika uchaguzi mkuu wa October, kwasababu ndivyo vyama vya kidemokrasia vilivyodhamiria kushiriki uchaguzi mkuu huo kikamilifu kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Licha ya kushiriki uchaguzi huo, ni wazi, kwa maandalizi wanayoyafanya mpaka sasa, na athari za usaliti zinazowatafuna tangu kusambaratika kwa UKAWA, vyama hivyo vya siasa, sioni dalili hata moja kwamba vinaweza kushinda hata kiti kimoja cha udiwani au ubunge. Na hata chadema wangeshiriki uchaguzi huo, hali ingekua ni hiyo hiyo.

Ndugu zangu dau wa siasa katika jukwaa hili la heshma sana, kwa tathmini zenu fupi sana, na kwa kuzingatia ushawishi wa vyama hivyo kwa wananchi, unadhani katika ujumla wao, wanaweza kupata zaidi 3% ya kura zote baada ya uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025?
Na kama wanaweza, ni kivipi?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Sio kuikabili maana hakuna ushindani wa kisiasa bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, sema wako tayari kuwabariki ccm kukaa madarakani kwa shuruti.
 
kumbe unajua hawatopata chochote sasa wanashiriki ili iweje?🤣🤣
Nakuomba uwashauri wasipoteze muda wao kwa jambo unalolijua watafeli tu
 
Back
Top Bottom