Elections 2010 CUF sasa yairarua CHADEMA Igunga; Hamad Rashid Mohamed asema CHADEMA sio chama cha kitaifa

WANASIASA WA TANZANIA BWANA! UCHORO SANA.

SASA KAMA CHADEMA SIO CHAMA CHA KITAIFA, Mhe HAMAD RASHID SI AENDE KWA MSAJILI WA VYAMA ILI CHADEMA KIFUTWE KWA KUKEUKA SHERIA ZA USAJILI WA VYAMA?
 
Wewe wacha uongo waislamu hawanywagi Whisky!!

mkuu hayo si maneno yangu, aliyatamka nape nnauye, alifika mbali zaidi ya kusema ,si mnaona hadi ndevu anyoa na ananawiri sasa,
 

Nani alikuambia Mbowe alirudisha shangingi lake ? mpaka sasa analitumia ! uliza watendaji wa bunge watakuambia
 

Siku zote nasema CHADEMA sio chama cha siasa, na ni kosa kubwa kukisajili kwa msajili wa vyama vya siasa. Wao ni WANAHARAKATI ambao wanatakiwa waajili NGO chini ya wizara ya mambo ya ndani
 
Natamani mlioko humu siku moja mpande kwenye haya majukwaa ya kisiasa nione na kusikia mtasema nini.
 
CUF ni chama cha kidini,ukimuondoa mtatiro ambaye naye naona siku hizi ana SIJIDA,kuna kiongozi gani mwingine ambaye sio muislamu,CUF hawana hata mbunge mmoja wa dini ya kikristu,ni chama cha waarabu.

Mkuu Omega,
Naomba unisaidie na hapa hichi ni chama cha dini gani?

Mbunge wa Iringa Mjini Mchungani Peter Msingwa.
mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse.
Mgombea urais Padre Slaa.
Mbunge wa Arusha Mjini Goodbless Lema, huu mwaka 1999 wakati anakaa Mwanza alikuwa na Kanisa lake maeneo ya Pasiansi.
Kaka unaishi kwenye nyumba ya vioo halafu unaanza vita vya mawe? Hawa ni CDM
 
Hii nguvu wanayotumia kukashfiana baina ya vyama laiti kama wangewekeza hivyo hivyo kuelezea uzuri wa sera zao labda ccm wangeshaondolewa siku nyingi.

Unatueleza kuwa wale wabaya, sawa tumekusikia; lakini hiyo haikufanyi wewe uwe chaguo mbadala na iwapo hamkujipambanua vizuri, watu wa vijijini siku zote wanaona bora 'zimwi likujualo'
 
Huyu Mzee kweli anazeeka vibaya anatakiwa apumzike asije akafia jukwaani iv swala lakwamba wanatumia gharama zao ni swala lakuwaambia Wanaigunga kwanza linawahususu nini!!ni nani amewaita kama sio kujipendekeza na viherehere vyao huyu Jamaa huwa ye anawaza ni vipi atapiga ela ndomana Kihoro cha ule uongozi wa kambi ya upinzani bado una muuma sana.
 
Kwa hiyo Hamad Rashid (CUF) wameshahakikisha kuwa CDM ndiyo waliomwagia mtu tindikali, na kupiga risasi? mbona hajamalizia na kuchoma banda la kuku? Wakati waziri mwenye dhamana ya mambo ya ndani anasema jeshi la polisi litatumia kila aina ya nyenzo zake kuwapata waliohusika na kumwagia mtu tindikali, yeye Hamad anajua kuwa ni CDM, yaani ni mjuaji kuliko Polisi.Yaani anathibitisha kuwa wapo pamoja na propaganda za ccm katika kuwahadaa wananchi.

Katika watu ambao wanatuhakikishia kuwa CUF ni mke wa CCM ni huyu bwana. Anazidi kuwaharibia CUF, ndiyo maana hata wakamtimua kwenye kuongoza kambi yao ya wabunge.
 
Waangalie tu hizi kampeni zao za Ubaguzi zinaweza kuwafanya hata wasifikishe kura 5,000 huko Igunga! Sembuse zile 11,000 wanazojitambia nazo...
 
Muulizeni Huyo Hamadi Rashid Mahamuma kuwa hiyo Helkopter wamelipiwa na nani? maana kunatetesi kwamba CCM ndiyo imegharimikia kupatikana kwa hiyo Chopa anayojidai nayo. Yaani leo Hamad kupanda hiyo Chopa tayari CCM wamekuwa Malaika kwake. Siasa uchwara. Damn.
 
Hamad..anatabia za Kishoga sana...na hilo ndo litamponza KATIKA SIASA ZA MBELENI...AU anataka kuolewa mke wa 2? maana CDM wakichukua madaraka, CCM ni mke mkubwa, basi CUF atakuwa nyumba ndogo, labda ndo analoogopa na kuanza kuropoka. Shame up on Sherrif Hamd
 
Nilisema hapa jf kuwa yule kiongozi wao cuf aliyepigwa na green gurd yaacheni kwani hayo ni mambo ya ndani ya mke na mume wataelewana hao, watu wakapuuza wakaendelea kuilaani ccm, kiko wapi sasa! mnaumbuka, mssipende kuingilia mambo ya ndani ya mume na mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…