Elections 2010 CUF wafanya unyama Tandahimba!

Safi sana watu wameamka na wanajua kwa nini wanafanya hivyo hiyo ni demokrasia wanayoitaka nec
 
Yaah NEC wanatakiwa kuwa makini sana ama sivyo hii amani itabaki kuwa historia mwisho wa siku
 
Wandugu,
Nimepata tetesi kuwa huko Tandahimba hakukaliki baada ya Tume kuchakachua matokeo na hadi tunapoongea hapa tayari watu 9 wamepoteza maisha.

Je, habari hizo ni za kweli? Someone feed us maana nimeisikia juu juu!!
 
wandugu,
nimepata tetesi kuwa huko tandahimba hakukaliki baada ya tume kuchakachua matokeo na hadi tunapoongea hapa tayari watu 9 wamepoteza maisha.

Je, habari hizo ni za kweli? Someone feed us maana nimeisikia juu juu!!
mh mh hii mbaya sana!
 
sijuhi kama imefikia hatua hiyo, lakini mara ya mwisho nadhani ilikuwa juzi kabla ya matokeo ya hapo kutangazwa, Jamaa wa CUF walikuja na list/idadi ya majimbo yote na idadi ya kura walizopata na wakaibandika pale kwa msimamizi wa uchaguzi na kumwambia hay ndio matokeo halali ya jimbo hilo (Tandahimba), lakini huyo jamaa wa Tume akaja na matokeo yake tofauti na pakawa na vujo za hapa na pale,

kumbe imefika hatua ya watu tisa kufa? hii ni balaa,
 
Amani iko wapi we GeniusBrain? Amani tunayotaka haiwe kuwepo wakati haki za watu zinanyang'anywa.

La msingi tuombe Mungu hizo tetesi za watu kupoteza maisha zisiwe za kweli.
 
Wandugu,
Nimepata tetesi kuwa huko Tandahimba hakukaliki baada ya Tume kuchakachua matokeo na hadi tunapoongea hapa tayari watu 9 wamepoteza maisha.

Je, habari hizo ni za kweli? Someone feed us maana nimeisikia juu juu!!

hizo sio taarifa za kweli,rabsha zilikuwa cku ya kutangazwa matokeo tu,but now hali ni shwari!
 
ningechangia hii lakini naogoap kuambiwa nachochea VITA...VITA NI VITA Muraaa
 
Taarifa ni za kweli kuna mwandishi mmoja wa mjini Mtwara jana alinihabarisha ni kweli wamekufa watu 8
 
Wadau nimepata tetesi kuwa huko Tandahimba hakukaliki hakukaliki. Kuna bifu kali kati ya wananchi waliotenguliwa mbunge wao wa cuf. Wametumwa wanajeshi kuweka hali sawa. Media zimezuiliwa kuripoti hili. Wananchi wanasema by any means lazima pawe na mini election kwani watampoteza huyo mbunge wa ccm. Pia wamesema asikanyage tena huko kusini. Mbozi the same. Wenye habari zaidi mtujulishe
 
Mambo ya kuforce king ayo yatawatokea puani
 
Wa mbozi wamemwambia mbunge wa ccm aliyechakachua kuwa nae asikanyage huko na wala akiwa bungeni asizungumzie chochote kinachohusu jimbo hilo. Hii ni baada ya kura zao kuchakachuliwa na mgombea wao kupitia chadema kutoswa. Kuna ladha gani kuwa mbunge wa jimbo hewa? Wanajimbo HAWAKUTAKI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…