Uchaguzi 2020 CUF: Wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kujulikana Julai 27, katika Mkutano Mkuu wa Chama

Uchaguzi 2020 CUF: Wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kujulikana Julai 27, katika Mkutano Mkuu wa Chama

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
SISI CUF MGOMBEA WA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA RAIS WA ZANZIBAR WATAJULIKANA JULAI 27

Screenshot_20200716-133644.png

"Mkurugenzi wa Mipango Na Uchaguzi CUF TAIFA Mhe. Juma Kilaghai ameyasema hayo Leo katika mahojiano na Waandishi wa habari kuwa Tarehe 27 mwezi huu ndiyo siku ya Mkutano Mkuu wa Chama Chetu na ndiyo siku Wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo watachagua Mgombea Urasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa Zanzibar"

Mpaka sasa wamejitokeza Wanachama watano watano wanaowania Urais kwa upande wa Zanzibar na Upande Tanzania Bara amejitokeza mmoja mpaka hivi Sasa
 
Hahah miaka hio kulikua na saundi mara jamaa ni mshauri wa huko IMF,mara anashauri marais mbalimbali duniani mambo ya kiuchumi mara A level matokeo yake kwny somo la Economics yalivunja records haijawahi kufikiwa hadi leo hahah.

Miaka kilikua na uongo ule 1st class.
Yani ulikuwa utoto..kumbe prof mwenyewe bora hata ya bashite.
 
Back
Top Bottom