CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Enzi zile za Majambia ya CUF nini?Niliwahi kuunga mkono CUF, hakika sitajisamehe!
Yani ulikuwa utoto..kumbe prof mwenyewe bora hata ya bashite.Hahah miaka hio kulikua na saundi mara jamaa ni mshauri wa huko IMF,mara anashauri marais mbalimbali duniani mambo ya kiuchumi mara A level matokeo yake kwny somo la Economics yalivunja records haijawahi kufikiwa hadi leo hahah.
Miaka kilikua na uongo ule 1st class.
Hahah so far kwny maisha Bashite ana mafanikio mengi kuliko Prof.Yani ulikuwa utoto..kumbe prof mwenyewe bora hata ya bashite.