Hahah miaka hio kulikua na saundi mara jamaa ni mshauri wa huko IMF,mara anashauri marais mbalimbali duniani mambo ya kiuchumi mara A level matokeo yake kwny somo la Economics yalivunja records haijawahi kufikiwa hadi leo hahah.
Miaka kilikua na uongo ule 1st class.