Unachosema kinawezekana kwa ni sahihi....Ila hizo ni kama hasira za CUF kuona CHADEMA wanakubalika zaidi yao, kitu ambacho CUF hawajagundua ni kuwa mbaya wao sio CHADEMA mbaya wao kama yupo basi ni CCM. Hilo la Slaa kama yeye kutokuwa tayari kugombea urais tangu mwanzo ni kweli, Slaa mwenyewe kasema mara kibao kuwa chama kilimwomba na kwa kusikiliza maoni ya wanachi, na kwa kufata ule msemo kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu yeye ndo akakubali na watanzania wameonyesha ni kweli kuwa yeye ndio kiongozi wanayemhitaji. kwa kugombea mara ya Nnne Lipumba ni kwamba sio anajikosesha kura yeye bali hata chama chake, kinakosa sbb kinaonekana hakina kiongozio mwingine zaidi ya walewale. CUF wangekazia kwenye ngome yao pemba, sasa wao wanamwachia maalim seif peke yake na Shein anapiga kambi huko kupunguza majimbo yua CUF.
Too late, no time.....si CCM si CUF kwa siku mbili hizi wataweza kubadilisha mawazo ya waTz wapenda mabadiliko