CUF wamtaka Jintao Z'Bar

 
Mwiba,

Kaazi kweli kweli!

Yaani posts zako hakuna Thanks hata moja!!! kwa nini?

Fanya reality check...kuna taabu mahali nadhani!

Maneno mengi!!! Substance kidogo!!!

Samahani ndugu na rafiki yangu!

Pengine kama jina lake anawachoma wengi kwani ukweli unauma.
 
Bwana wa Arusha wana yao na husikia wakilalamika katika bunge la Tanganyika. Hawa Wazanzibari hawawakilishwi mambo yao kwenye Bunge la Tanganyika.
Jee unaonaje Ziara zikawa zinafanyika Zanzibar tu nanyi mkawa mnawakilisha na MH. Mbowe?


really? hao wabunge kutoka zanzibar huwa wanawakilisha maslahi ya nani kwenye bunge la jamhuri ya Muungano? tanganyika hakuna bunge.
 
really? hao wabunge kutoka zanzibar huwa wanawakilisha maslahi ya nani kwenye bunge la jamhuri ya Muungano? tanganyika hakuna bunge.

Masilahi ya Tanganyika ili ionekane kuwa upo uwakilishi wa Zanzibar. Kwa hakika sijawahi kusikia mbunge wa Zanzibar akizungunza mambo ya Zanzibar kwani kwa utaratibu hayashughulikiwi na Bunge. Mambo wanayoshughulika nayo ni machache yaliyolazimishwa na Muungano lakini wanalipwa hata kukaa wakati kukizungumzwa mambo ya Mwanza au KIgoma. Hii ni moja ya geresha za Muungano usidfahamika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…