Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Chama cha Wananchi, CUF, kimemaliza rasmi ule msuso wa kujiandikisha kwenye maboresho ya daftari la kudumu la kupiga kura, baada ya kuwahimiza wafuasi wake kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari hilo.
Taarifa ya CUF kwa vyombo vya habari, pia imewataka wale wote walipiga kura mwaka 2005, ambao bado wanazo shahada zao, wajitokeze kuandikishwa bila kuhitajika kuwa na vitambulisho vya ukaazi. Kwa maneno mengine lile shuruti la kitambulisho cha ukaazi, limeondolewa kwa waliopiga kura mwaka 2005.
Sijui kwanini taarifa hii imetolewa na CUF ilhali ilitakiwa kutolewa na ZEK.
Taatifa yenyewe ni hii hapa
Taarifa ya CUF kwa vyombo vya habari, pia imewataka wale wote walipiga kura mwaka 2005, ambao bado wanazo shahada zao, wajitokeze kuandikishwa bila kuhitajika kuwa na vitambulisho vya ukaazi. Kwa maneno mengine lile shuruti la kitambulisho cha ukaazi, limeondolewa kwa waliopiga kura mwaka 2005.
Sijui kwanini taarifa hii imetolewa na CUF ilhali ilitakiwa kutolewa na ZEK.
Taatifa yenyewe ni hii hapa