Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 915
- 54
Watu wasiofahamika huko Zanzibar, wameanza kuzuia wanachama wa CUF kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura,
Watu hao wanapita kwenye maeneo ambayo ni ngome za CUF na kutangaza kuwa atakaye toka nje na kwenda kujiandikisha atakipata cha moto.
Nawataharifu washika dau wote katika hili kulishughulikia haraka sana kabla mabaya zaidi hayajatokea
Watu hao wanapita kwenye maeneo ambayo ni ngome za CUF na kutangaza kuwa atakaye toka nje na kwenda kujiandikisha atakipata cha moto.
Nawataharifu washika dau wote katika hili kulishughulikia haraka sana kabla mabaya zaidi hayajatokea