Mabomu na risasi vimelindima leo huko Zanzibar, na hatimaye kile kilichodhamiliwa (kuzuia kuandikisha wapiga kura) kimekamilika, maana zoezi hilo limesitishwa leo.
Tutarajie mauaji mengine mwakani,
Wenye familia huku bara ni vyema wakae mkao wa kupokea wakimbizi, dalili sio nzuri.