Uchaguzi 2020 "Culture of fear" is killing Chama cha Mapinduzi

Uchaguzi 2020 "Culture of fear" is killing Chama cha Mapinduzi

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Even the king of Jungle (The lion) has an end, it can never hunt again to feed its stomach due to oldness.

Hakuna wakati mgumu Chama cha Mapinduzi kinapita kama wakati huu. Chama kimekosa wanamkakati wa kushawishi na kuuza sera kwa wananchi.

Katibu Mkuu Ndugu Bashiru Ally na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Ndugu Humprey Polepole ni moja kati ya makatibu waliofeli na kushindwa ndani ya Chama cha Mapinduzi, wamejawa hofu ya upinzani.

Utamaduni wa uwoga na kuogopa kujibu hoja sasa ndio umejengeka ndani ya Chama cha Mapinduzi. Hakuna katibu kati ya hawa wawili mwenye uwezo wa kujibu hoja au kushiriki mdahalo kwa sasa unaohusu demokrasia au uhuru wa habari.

Kauli ya Rais Mstaafu Kikwete kuwa hoja hujibiwa na hoja zaidi na si kupigwa nyundo, inaakisi hali halisi kwa sasa ndani ya Chama cha Mapinduzi.

Yafuatayo yanapaswa kuangaliwa na kuchukuliwa hatua za haraka kujenga taasisi hii ya Chama cha Mapinduzi kuwa imara.

Mosi, kuwapa nguvu vijana au damu mpya toka vyuo vikuu uwezo wa kuhoji na kufanya mdahalo. Chama hapa kitakuwa na succession plan baada ya mfumo wa hofu kuondoka.

Pili, chama kitafute mbinu mpya za kuuza sera kwa wananchi kwa kukaribisha midahalo toka kwa watu wenye mawazo tofauti hapa ni kushirikisha wanahabari na asasi za kiraia. Hii itawajengea wananchi imani hasa wale wenye mlengo kuwa chama ni cha kizee.

Chama kutowapa nafasi wale wote waliohamia kwa maslahi binafsi toka nje ya mfumo wa chipukizi. Nafasi zikihitajika washindanishwe kwa hoja na uhuru bila mamlaka kuu kumbeba mhamiaji chamani. Hii itajenga uwajibikaji na uamimifu kwa makada waliopo chamani.

Chama kinatakiwa kujenga upya imani kwa wahisani na marafiki zetu wa siku nyingi hasa Benki ya Dunia na IMF kwa kusimamia kikamilifu sera na mikataba tunayoingia. Haya mambo ya kesi za ajabu ajabu zisizokuwa na mkia wala kichwa za uchochezi na Facebook hazina tija kwa Taifa.

Ni muda muafaka wa chama kukemea kauli tata na za utoto toka kwa viongozi vijana ili kujenga umoja. Ni wakati vijana kuelimishwa huu uhuru tuliupata vipi na kina nani walishiriki. Ni muda wa chama kufundisha vijana huu umoja wa Watanzania ulijengwa vipi.

Chama ni muhimu kikaacha kufanya kazi kwa kutumia wachumia tumbo na wapiga matarumbeta kwa ajili ya kulisha familia zao. Ni muda wa kuombana msamaha na kusahihisha kutokuelewana; chama kijikite kujibu hoja za msingi toka kwa wananchi na nchi wahisani.

Ni muda muafaka wa chama kuachana na hofu isiyoonekana toka kwa makundi kinzani bali ni muda wa kukusanya hoja toka kwa makundi mbalimbali na kuyafanyia utafiti. Report za chama zijengwe kwa tafiti na takwimu za ushawishi.



Huawei Nova 6 5G
 
Tunahitaji muda wa kutosha kufanya hayo. Ni mawazo mazuri lakini yanatia hofu kitafanyika kazi maana tumefika mbali katika mfumo wetu mpya wa hoffff

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani Wapinzani Watanzania wanaboa sana wamekosa sera Wamebaki kubweka mitandaoni
 
Wana mkakati wa kununua wabunge na madiwani wa Chadema na kwenye uchaguzi wapite bila kupingwa.
Wabunge na madiwani watu wazima na utashi wao watanunuliwaje kama vitunguu sokoni jamani? Hoja hii inanishangaza sana. Ningependa kuona CHADEMA nao wanajitutumua mara moja wanunue japo wabunge wawili wa CCM ili kwenda sawa....
 
Mambo yameiva wacha wawe wenyewe hapo ndipo upinzani wa kweli utatoka huko huko ndani walipo wengi maana watashindwa kupeana vyeo na pesa na mambo yote wanayoyataka.
 
Ndugu unashuri watu wajinga waliojiita mawe? Achana nao hawashauliki
 
Ni Tanzania ambako unakuta wapinzani wanatoa ushauri kwa CCM ili kiendelee kuwa chama tawala!

Tanzania kuna vituko!


Sent from my iPhone
 
Chama kimenufaisha wengi, Chama kimefanya watu tuwe hapa tulipo Leo

Chama kimesababisha kutujengea network kwa taasisi kubwa na kusaidia ndugu vijijini kusoma level na kuwatafutia kazi kwenye taasisi kubwa

Ninaheshimu chama hata kama tulipewa pesa za kifisadi

Nitakosoa pale ambapo hapagusi maslahi binafsi

Kwenye deal binafsi siwezi kukosoa chama
Ni Tanzania ambako unakuta wapinzani wanatoa ushauri kwa CCM ili kiendelee kuwa chama tawala!

Tanzania kuna vituko!


Sent from my iPhone

Huawei Nova 6 5G
 
Ni Tanzania ambako unakuta wapinzani wanatoa ushauri kwa CCM ili kiendelee kuwa chama tawala!

Tanzania kuna vituko!


Sent from my iPhone
Ongea tena tulishauri haya sasa mimi ni mwanaccm zaidi yako

Wewe una IQ ndogo sana ya kusifia na sio kutoa suluhisho
 
Ni Tanzania ambako unakuta wapinzani wanatoa ushauri kwa CCM ili kiendelee kuwa chama tawala!

Tanzania kuna vituko!


Sent from my iPhone
The end define means

The king is out of control
 
Wabunge na madiwani watu wazima na utashi wao watanunuliwaje kama vitunguu sokoni jamani? Hoja hii inanishangaza sana. Ningependa kuona CHADEMA nao wanajitutumua mara moja wanunue japo wabunge wawili wa CCM ili kwenda sawa....
hawatoweza na nitakwambia why? wabunge wanaangalia maslahi na future?
hata kama watanunua ? hawa wabunge wakiangalia futurebya chadema ni ndogo sana. huko mbele hawatafanikiwa? unadhani watakubali?
 
Even the king of Jungle (The lion) has an end, it can never hunt again to feed its stomach due to oldness.

Hakuna wakati mgumu Chama cha Mapinduzi kinapita kama wakati huu. Chama kimekosa wanamkakati wa kushawishi na kuuza sera kwa wananchi.

Katibu Mkuu Ndugu Bashiru Ally na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Ndugu Humprey Polepole ni moja kati ya makatibu waliofeli na kushindwa ndani ya Chama cha Mapinduzi, wamejawa hofu ya upinzani.

Utamaduni wa uwoga na kuogopa kujibu hoja sasa ndio umejengeka ndani ya Chama cha Mapinduzi. Hakuna katibu kati ya hawa wawili mwenye uwezo wa kujibu hoja au kushiriki mdahalo kwa sasa unaohusu demokrasia au uhuru wa habari.

Kauli ya Rais Mstaafu Kikwete kuwa hoja hujibiwa na hoja zaidi na si kupigwa nyundo, inaakisi hali halisi kwa sasa ndani ya Chama cha Mapinduzi.

Yafuatayo yanapaswa kuangaliwa na kuchukuliwa hatua za haraka kujenga taasisi hii ya Chama cha Mapinduzi kuwa imara.

Mosi, kuwapa nguvu vijana au damu mpya toka vyuo vikuu uwezo wa kuhoji na kufanya mdahalo. Chama hapa kitakuwa na succession plan baada ya mfumo wa hofu kuondoka.

Pili, chama kitafute mbinu mpya za kuuza sera kwa wananchi kwa kukaribisha midahalo toka kwa watu wenye mawazo tofauti hapa ni kushirikisha wanahabari na asasi za kiraia. Hii itawajengea wananchi imani hasa wale wenye mlengo kuwa chama ni cha kizee.

Chama kutowapa nafasi wale wote waliohamia kwa maslahi binafsi toka nje ya mfumo wa chipukizi. Nafasi zikihitajika washindanishwe kwa hoja na uhuru bila mamlaka kuu kumbeba mhamiaji chamani. Hii itajenga uwajibikaji na uamimifu kwa makada waliopo chamani.

Chama kinatakiwa kujenga upya imani kwa wahisani na marafiki zetu wa siku nyingi hasa Benki ya Dunia na IMF kwa kusimamia kikamilifu sera na mikataba tunayoingia. Haya mambo ya kesi za ajabu ajabu zisizokuwa na mkia wala kichwa za uchochezi na Facebook hazina tija kwa Taifa.

Ni muda muafaka wa chama kukemea kauli tata na za utoto toka kwa viongozi vijana ili kujenga umoja. Ni wakati vijana kuelimishwa huu uhuru tuliupata vipi na kina nani walishiriki. Ni muda wa chama kufundisha vijana huu umoja wa Watanzania ulijengwa vipi.

Chama ni muhimu kikaacha kufanya kazi kwa kutumia wachumia tumbo na wapiga matarumbeta kwa ajili ya kulisha familia zao. Ni muda wa kuombana msamaha na kusahihisha kutokuelewana; chama kijikite kujibu hoja za msingi toka kwa wananchi na nchi wahisani.

Ni muda muafaka wa chama kuachana na hofu isiyoonekana toka kwa makundi kinzani bali ni muda wa kukusanya hoja toka kwa makundi mbalimbali na kuyafanyia utafiti. Report za chama zijengwe kwa tafiti na takwimu za ushawishi.



Huawei Nova 6 5G
Kuna kitu kinaitwa Chato syndrome. Japokuwa muanzilishi wake hayupo, hii kitu itaipeleka chama cha mapinduzi kubaya.
Chato syndrome.

GUSSIE
 
Even the king of Jungle (The lion) has an end, it can never hunt again to feed its stomach due to oldness.

Hakuna wakati mgumu Chama cha Mapinduzi kinapita kama wakati huu. Chama kimekosa wanamkakati wa kushawishi na kuuza sera kwa wananchi.

Katibu Mkuu Ndugu Bashiru Ally na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Ndugu Humprey Polepole ni moja kati ya makatibu waliofeli na kushindwa ndani ya Chama cha Mapinduzi, wamejawa hofu ya upinzani.

Utamaduni wa uwoga na kuogopa kujibu hoja sasa ndio umejengeka ndani ya Chama cha Mapinduzi. Hakuna katibu kati ya hawa wawili mwenye uwezo wa kujibu hoja au kushiriki mdahalo kwa sasa unaohusu demokrasia au uhuru wa habari.

Kauli ya Rais Mstaafu Kikwete kuwa hoja hujibiwa na hoja zaidi na si kupigwa nyundo, inaakisi hali halisi kwa sasa ndani ya Chama cha Mapinduzi.

Yafuatayo yanapaswa kuangaliwa na kuchukuliwa hatua za haraka kujenga taasisi hii ya Chama cha Mapinduzi kuwa imara.

Mosi, kuwapa nguvu vijana au damu mpya toka vyuo vikuu uwezo wa kuhoji na kufanya mdahalo. Chama hapa kitakuwa na succession plan baada ya mfumo wa hofu kuondoka.

Pili, chama kitafute mbinu mpya za kuuza sera kwa wananchi kwa kukaribisha midahalo toka kwa watu wenye mawazo tofauti hapa ni kushirikisha wanahabari na asasi za kiraia. Hii itawajengea wananchi imani hasa wale wenye mlengo kuwa chama ni cha kizee.

Chama kutowapa nafasi wale wote waliohamia kwa maslahi binafsi toka nje ya mfumo wa chipukizi. Nafasi zikihitajika washindanishwe kwa hoja na uhuru bila mamlaka kuu kumbeba mhamiaji chamani. Hii itajenga uwajibikaji na uamimifu kwa makada waliopo chamani.

Chama kinatakiwa kujenga upya imani kwa wahisani na marafiki zetu wa siku nyingi hasa Benki ya Dunia na IMF kwa kusimamia kikamilifu sera na mikataba tunayoingia. Haya mambo ya kesi za ajabu ajabu zisizokuwa na mkia wala kichwa za uchochezi na Facebook hazina tija kwa Taifa.

Ni muda muafaka wa chama kukemea kauli tata na za utoto toka kwa viongozi vijana ili kujenga umoja. Ni wakati vijana kuelimishwa huu uhuru tuliupata vipi na kina nani walishiriki. Ni muda wa chama kufundisha vijana huu umoja wa Watanzania ulijengwa vipi.

Chama ni muhimu kikaacha kufanya kazi kwa kutumia wachumia tumbo na wapiga matarumbeta kwa ajili ya kulisha familia zao. Ni muda wa kuombana msamaha na kusahihisha kutokuelewana; chama kijikite kujibu hoja za msingi toka kwa wananchi na nchi wahisani.

Ni muda muafaka wa chama kuachana na hofu isiyoonekana toka kwa makundi kinzani bali ni muda wa kukusanya hoja toka kwa makundi mbalimbali na kuyafanyia utafiti. Report za chama zijengwe kwa tafiti na takwimu za ushawishi.



Huawei Nova 6 5G
Kimsingi kuwa na chama chenye umri mkubwaa ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu.... Hata vyama vipya huwa vinafanya vibaya madarakani, kuna vyama vina umri mkubwaa mfano ANC, Democratic, Republicans, hawajasema kwamba ni chama kizee, ni vizuri chama kiwe na mabadiliko ya kiimani na itikadi ili kukidhi matakwa ya jamii na nchi kwa ujumla, kuangalia mifumo ya kidunia inaenda vipi, hivyo akitachokwa
 
Back
Top Bottom