mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 326
Mkuu mutant gene Ningelikuwa mimi nipo hapo Mjini Dares-Salaam ningewezawakuu, wapi naweza kupata cupping therapy kwa dar es salaam?
Mkuu mutant gene Ningelikuwa mimi nipo hapo Mjini Dares-Salaam ningeweza
kukupiga hiyo hijama lakini kwa sasa sipo hapo nyumbani Tanzania. Nipo Ughaibuni unaweza
kwenda Msikiti wa Mtoro au Msikiti wa Manyema kawaulize Ma-Sheikh wataweza kukwambia
nani anaweza kukfanya kazi hiyo ya kupiga Hijama (Cupping therapy) na Sehemu za mwili
zinazo takiwa upigwe wewe hiyo Hijama anagalia hizo picha pamoja na Video hapo chini.
Ukiwa na Swali Au lolote unaweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
Mkuu Gamaha Cupping TherapyInasaidia nini hii mkuu, Mzizimkavu
Haifanyiki Msikitini kuna Sehemu maalum wanazo piga hiyo Hijama aka kuumika Msikitini ni kama kituo cha kuulizia hiyo sehemu wanayopiga Hijama.Ni bei gani na inafanyika msikitini tu na je nikitaka leo sipati hadi hiyo miezi uliyotaja?
Hijama inafanywa mda wowote siku yeyote kilichopendekezwa tarehe za mwsho wa mwez n sunna tu sio amriMkuu Gamaha Cupping Therapy
au Hijama au Kupiga chuku kutoa Damu chafu mwilini ina faida sana kwa afya ya Binadamu.
Kupiga chuku Aka (Hijama) inasaidia kutibu Maradhi zaidi ya 50 yaliyoko mwilini mwa
Binadamu . Kuna Tarehe zake kwa kila mwezi unatakiwa upiga mara 1. Haswa mwezi wa 6
(June) au mwezi 7 (July) na mwezi 8 (august) au ukafuatilia tarehe za Mwezi Muandamo
(Mwezi wa Kiislam Tarehe ya kalenda ya Kiislam ) itakuwa bora zaidi Tarehe za huo mwezi
Muandamo iwe inaanzia Tarehe 16 mpaka mwisho wa mwezi Muandamo. Unaweza kupiga
miezi hiyo 3 mfululizo yaani kila mwezi unapiga mara 1 na siku ya kupiga hiyo chuku (Hijama)
unatakiwa upige saa 7 mchana. Na Siku zake kwa wiki unaruhusiwa kupiga siku 3 siku ya
Jumapili au Jumatatu na Siku ya Alkhamisi Siku zilizobakia hauruhusiwi kupiga chuku. Na
Mpigaji chuku awe ni Mtaalam mzuri asipokuwa si mtaalama anaweza kudhurika kwa hiyo
Damu inayotoka kwa anaye mpiga huyo chuku (Hijama). Kwani Damu inayotoka ni damu chafu
ya Maradhi Haya hapa chini ni Maradhi yanayotibiwa na Hijama kupiga chuku.
Disease Treated by Cupping Therapy
Common cold and cough
Headaches including migraine
Breathing difficulties (asthma)
Diarrhea and constipation
Tonsillitis and sore throat
Stomach ache and heart burn
Hand, leg, neck and back pain
Neuralgia (nerve pain)
Athletes foot
Skin problems including pimples, oily skin, itch, dermatitis, liver spots
Chills at fingers and toes
Eye problems myopia, early cataract, conjunctivitis
Alopecia (losing hair)
Allergy
Menstrual pain (endometriosis)
Leucorrhoea (whitish/yellowish discharge due to infection)
Infertility
Urinary incontinence
Hypertension (high blood pressure)
Hypotension (low blood pressure)
Angina pectoris (heart pain)
Periodontal (gum) disease
Hemorrhoid (piles)
Osteoarthritis and gout
Diabetes
Kidney malfunction (pre-dialysis)
Liver problem (hepatitis and fatty liver)
Losing memory and dementia (Alzheimer)
Stroke
Headaches
chanzo.What Is Cupping Therapy? Uses, Benefits, Side Effects, and More
Ukiwa na Shida yoyote ile
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +90534450816
Sehem n nyng ...vingungut IPO ...nenda hta kwa Dr mambo saleh anapiga vizurNi bei gani na inafanyika msikitini tu na je nikitaka leo sipati hadi hiyo miezi uliyotaja?