Curl (kali) inakata nywele?

Curl (kali) inakata nywele?

Mazoeya

Senior Member
Joined
Jul 10, 2018
Posts
102
Reaction score
84
Imebidi niulize sababu nimejikuta nywele zimenyonyoka Kama nimenyolewa, banda ya kuweka curl baada ya miezi mitatu nikaweka DAWA ya movate ili nilainishe nywele coz nilikuwa nataka Kusuka yebo yebo.

Kilichotokea baada ya kufumua mungu mwenyewe anajua nywele zote zimekatika kama nimenyolewa. Imebidi ninyoe nywele zote nimebakiza za kuanzia, kutonea.

swali langu je nimeanza upya Sasa kusuka,nywele zitakua na mendeleo baada yakynyoa zote zilizo katika? Au mnanishaurije?
 
Pole kwa yaliyokusibu. Kama umezikata zitaanza tuu kukua kama kawaida.
Hakikisha nywele zilizoharibika unazkata polepole mpaka ziishe.
Pia jifunze kutunza nywele asili kwasaabu sio lazima mpaka uweke dawa ndo uweze kusuka.
 
Pole kwa yaliyokusibu. Kama umezikata zitaanza tuu kukua kama kawaida.
Hakikisha nywele zilizoharibika unazkata polepole mpaka ziishe.
Pia jifunze kutunza nywele asili kwasaabu sio lazima mpaka uweke dawa ndo uweze kusuka.
Asante saana
 
Back
Top Bottom