Mabadiliko yapo lakini cyo kuondoa kabisa! Nimpaka mzigo uonekane halafu uczidi 1.5 tones kwa new appointees. Ukizidi, unapewa gari na halmashauri! Swali langu ni je iwapo wote mizigo imezidi watapewa magari hata kama kwao ni mbali sana? Ah mi cjui bana. Fomula ni (1.5 tones *1000*number of kms) ACHENI UJINGA WALIMU. FIGHT PLZ! OOHOO!