Cusomer Care Wanawake kero Precission Air, Voda, Zantel, Airtel

Cusomer Care Wanawake kero Precission Air, Voda, Zantel, Airtel

Profesa

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
905
Reaction score
624
Kwakweli huu ndio uzoefu wangu na wengi niliyowauliza, kwenye kuhudumia wateja, wanawake wamekuwa na majibu ya hovyo na yasiyolenga kumhudumia mteja na wakati mwingine hukukatia simu wakati unajaribu kueleza tatizo lako. wanaume ni tofauti kabisa na huchukua muda wa kutosha kuhakikisha mteja umeridhika. Pamoja na haki za jinsia, ila kugawana majukumu kitengo hiki hakiwafai wanawake ni kero kwelikweli. Binafsi nina mpango wa kubadili mtu wa reception niweke mwanamme, huyu wa reception nitamhamishia kwenye kufuatilia logistics nje ya ofisi maana nimechoshwa na malalamiko ya wateja na watu wanaotembelea ofisi.

Tatio ni nini ni kisaikolojia? Jinsia? Au ni nini hebu niambieni jamani...
 
Kwakweli huu ndio uzoefu wangu na wengi niliyowauliza, kwenye kuhudumia wateja, wanawake wamekuwa na majibu ya hovyo na yasiyolenga kumhudumia mteja na wakati mwingine hukukatia simu wakati unajaribu kueleza tatizo lako. wanaume ni tofauti kabisa na huchukua muda wa kutosha kuhakikisha mteja umeridhika. Pamoja na haki za jinsia, ila kugawana majukumu kitengo hiki hakiwafai wanawake ni kero kwelikweli. Binafsi nina mpango wa kubadili mtu wa reception niweke mwanamme, huyu wa reception nitamhamishia kwenye kufuatilia logistics nje ya ofisi maana nimechoshwa na malalamiko ya wateja na watu wanaotembelea ofisi.

Tatio ni nini ni kisaikolojia? Jinsia? Au ni nini hebu niambieni jamani...


uko sahihi mkuu, nimeliona hilo pia
 
Hii ni kweli ingawa wengi watasema ni ubaguzi.Zantel Mwanza kuna mhudumu wa kike alinitolea lugha ya kejeli na dharau baada ya kumuuliza kuhusu makato kwenye modem yangu.Mwingine wa Vodacom Mwanza aliishia kunitukana baada ya kuomba risiti kwa ajili ya malipo ya ku-swap line.Honestly,hawa wahudumu wa kike wengi wao wako unqualified,hawataki maswali kabisa kwa sababu hawatii bidii kujua huduma na products za kampuni zao kwa undani zaidi.
 
Na wa crdb waterfront..ni kero kwa wateja.
 
..Wakiambiwa ni Vyeti vya Vyupi Wanakuja Juu na Kufungua Mikesi wakati Ukweli ni Huo. Wanakuwa VibuyuWazi kwa Sababu wengi wao wameajiriwa kwa Vijimemo na wakiishaingia hawataki kujifunza! Tatizo Kubwa zaidi awe anamgaia SuperVisor fulani wa Kitengo alichomo (wala sio Mkuu wa Idara!, Utsjuuta kumfahamu utakapodiriki kumuuliza swali ambalo halifahamu...!!
 
jana niliongea na customer care wa kike wa tigo-pesa,tatizo langu nilifuta kwa bahati mbaya msg ya token za luku,huyu dada badala ya kuni-foward-ia msg ya token,yeye anakazana kunilaumu kwa nn nimefuta msg,yaani ikabidi niwe mkali ndipo aliponitumia tena msg ya token
 
Naunga mkono hoja kwa kweli wajirekebishe! miye huwa nikipiga akipokea mwanamke nakata kwani najua nitakachojibiwa sitaweza kuvumilia lazima nimjie juu!
 
Back
Top Bottom