Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Mna Mambo ya ajabu Sana. Yaani mtu akipiga simu atawekewa matangazo mpaka atajuta na kukimbia mwenyewe. Najiuliza lengo la mtu kiwapigia simu ninl kusikiliza matangazo au kuelezea hitaji lake.
Coz wakati mwingine mtu anahitaji huduma ya haraka, huemda amekosea namba or something. Sasa kumsikilizisha matangazo nusu saa nzima ni haki kweli?
Coz wakati mwingine mtu anahitaji huduma ya haraka, huemda amekosea namba or something. Sasa kumsikilizisha matangazo nusu saa nzima ni haki kweli?