Customized Software development courses by me. I'll teach you how to geek in coding

Customized Software development courses by me. I'll teach you how to geek in coding

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Hello bosses,

Ni kwa muda sana sijaandika makala kuhusu computer programming. Kiukweli kuna watu wanahitaji kufahamu Programming na kuweza kuitumia kupata kipato, nina uhakika na hilo kwa sababu wengi wamekua wakinifuata PM kuniomba guide. Leo hii natoa guide generally kwa wote wenye UHITAJI, namaanisha UHITAJI. Kama wewe hauhitaji tafadhali waache wenye uhitaji coz wanajijua.

Kiufupi coding kwa upande wangu nimejifunza mimi mwenyewe bila kwenda chuo na kila siku bado najifunza coz nyanja hii ukilala kdg mambo mengi sana yatakupita. Nilipitia njia ngumu kwa sababu hamna aliekua anaelewa ninachosoma wakati naanza na pia discouragements zilikua nyingi sana, nilikua sina mtu wa kumuuliza wala wa kunipa guide. Baadae nikaacha shule na mengine yashakua historia, ila yote hayo ni kwa sababu nilitaka muda mwingi wa kujifunza software development kwa upana wake.

Kwa sasa najua kona nyingi kwenye hii field hivyo kama wewe ni mwanachuo unasoma computer programming au IT, au una interview ya kazi yyt ya IT au unataka tu kujifunza Software development basi LET'S WALK TOGETHER THROUGH THIS STORM.

Kujifunza coding wewe mwenyewe sio ngumu kwa sababu materials ziko nyingi sana za bure mtandaoni kuanzia w3schools, tutorialspoint etc....... Lakini wengi wanashindwa kuweza kwa sababu hii kitu inahitaji COMMITMENT kubwa na utulivu.

Nafahamu vitu vingi kiasi kwenye hii field so hapa chini nitaweka list na jinsi nitakavyokusaidia. Ila kama ukihitaji kujua kitu kingine kuhusu Software Development ambacho sitokiweka hapa chini basi usisite kunifuata PM au unaweza kuweka comment yako kisha nitareply. Nimezipanga katika courses na kwa kila kozi nmeelezea utajifunza nini.

NB: KWA WALE WENYE UHITAJI WA KUJUA CODING LAKINI COMMITMENT YAO KWENYE KUJIFUNZA NI NDOGO MSIJALI COZ SOLUTION YA HILO GONJWA NINAYO NA INAWEZA KUKUSAIDIA ENDAPO KWELI UNA UHITAJI WA KUJUA NA KUMASTER CODING


1) BASIC ANDROID DEVELOPMENT (Tsh 50,000 Per week, for 3 Weeks Total 150K)
---Hapa muhitaji inabidi awe na computer yake kisha baada ya hizo wiki tatu ataweza kutengeneza Android App inayoweza fanya mambo mengi kama vile notebook, Alarm, Content management, Apps zinazoload web contents za kuzionesha kwa user etc.....

---Nitakusaidia Kumaster android Studio na kukupa mwanga wa jinsi ya kupata kazi za coding kwenye sites kama upwork etc.....

--- Utapata resources zitakazo kusaidia kujiendeleza zaido kwenye hii field.


2) ADVANCED ANDROID DEVELOPMENT(100K per week, 4 weeks Total 400K)
---Hapa tukimaliza utakuwa na uwezo wa kutengeneza hadi chatting apps, music & video players, na apps nyingi zinazo-utilize features kubwa kubwa za Android.
---Muhitaji inabidi awe na PC angalau yenye core i3 processor na 4gb RAM
---Nitakuonesha pia machimbo ya kazi za Android devs ambazo unaweza fanya ukiwa getto tu na ukala dola angalau 100 kwa wiki kama kweli utamaster Android Dev.

3) FULLSTACK WEB DEVELOPMENT with CSS, HTML5, Javascript & PHP only(300K)
Hii haina limit ya wiki lakini nitakuelekeza mpaka tufike sehemu unaweza tengeneza crone ya web ya JF au fb. Pia nitakuelekeza machimbo ya kupata deals za kazi kama hizi na kukupa guide ya nini inabidi uwe nacho ili kupata deals zaidi.

PIA KWA WALE WANACHUO MNAOHITAJI PROJECTS IDEA AU MNATAKA KUONYESHWA JINSI YA KUFANYA PROJECTS ZENU ZA SOFTWARE DEV UNAWEZA KUNITAFUTA PIA.

MWISHO:
Software development ina hela lakini inabidi ujue vitu kweli kweli ndipo utaiona hio hela. Wengi ni script kiddies na wanakatia tamaa katikati hivyo utakuta watu wengi waliosomea IT vyuoni bado ni jobless mitaani. Nimekaa na wanachuo wengi wanaosoma computer programming lakini hadi nakua nasikitika sana na kujiuliza huko chuoni wanasoma nini sijui. Mtu kamaliza degree na kwenye syllabus inaonesha kasoma Web dev, Java, C++ lkn hawezi kuzitumia hata kutengeneza GUI App ndg ndg tu.

Program hii nimeandaa kwa watu wenye uhitaji na iko valid kwa wiki tano tu kuanzia kesho coz nitakua free so muda mwingi nataka kutumia kuelekeza wale wenye uhitaji na hii issue. Kufikia Tar 20 March hii issue itakua Invalid. Pia kama mtu unaona bei ni kubwa lakini una uhitaji kweli wa kujua coding na unadhani utamaster na una kichwa chepesi basi nifuate PM tujue namba ya kufanya

NB: MAWASILIANO YOTE YAFANYIKE PM

Cc PutinV Z1LNUX_P01S0N
 
Kaka!!

Asante sana kwa Uzi wako huu!!

Mi pia ni coder japokuwa nimebase sana kwenye PHP Lang husasani frameworks hasa za codeignater na Laravel!

Nakumbuka mwanzo kabisa nilianza na codeignater, na nikaipenda kweli, lakini rafiki yangu mmoja aliniambia nijaribu Laravel, japo kwa juu juu sikuipenda, lakini baada ya kuijua vizuri sasa nikaipenda kwelikweli! [emoji7]

Lakini kwa sasa ninampango wa kumigrate kwenda kwenye Django ya python, kikubwa kinachonivutia huko ni speed ukilinganisha na Laravel. Samahani sana kwa kutoka nje ya mada ndugu yangu!

Mkuu, kupitia Uzi wako huu, naomba pia kama unaweza uka share jinsi ya kupata masoko na kujitangaza ingekuwa vizuri sana mkuu!!
 
Kaka!!

Asante sana kwa Uzi wako huu!!

Mi pia ni coder japokuwa nimebase sana kwenye PHP Lang husasani frameworks hasa za codeignater na Laravel!

Nakumbuka mwanzo kabisa nilianza na codeignater, na nikaipenda kweli, lakini rafiki yangu mmoja aliniambia nijaribu Laravel, japo kwa juu juu sikuipenda, lakini baada ya kuijua vizuri sasa nikaipenda kwelikweli! [emoji7]

Lakini kwa sasa ninampango wa kumigrate kwenda kwenye Django ya python, kikubwa kinachonivutia huko ni speed ukilinganisha na Laravel. Samahani sana kwa kutoka nje ya mada ndugu yangu!

Mkuu, kupitia Uzi wako huu, naomba pia kama unaweza uka share jinsi ya kupata masoko na kujitangaza ingekuwa vizuri sana mkuu!!
Masoko yapo na kazi zipo shida ni kwamba vigezo vya skills unavyo?

Ingia kwanza upwork.com kisha uangalie kazi za php, then jipime uone kwa skills zako kama unaweza kufanya angalau 90% ya kazi zilizowekwa humo kwa wiki hii inayoanza kesho?. Kama jibu ni ndio basi unaweza pata soko lkn kama sio basi endelea kujinoa kwanza.

Af nikushauri tu kuna languages mbili, PHP na Javascript. Kama unajua sana kutumia frameworks tu kwenye hizo lang na ndipo huko umebase sana bila kujua core language features basi rudi tena ukasome core language features coz hizo frameworks bila core knowledge utakataliwa kila kona unless uwe creative utengeneze product yako ww mwenyewe upate users au uiuze
 
Hello bosses....

Ni kwa muda sana sijaandika makala kuhusu computer programming. Kiukweli kuna watu wanahitaji kufahamu Programming na kuweza kuitumia kupata kipato, nina uhakika na hilo kwa sababu wengi wamekua wakinifuata PM kuniomba guide. Leo hii natoa guide generally kwa wote wenye UHITAJI, namaanisha UHITAJI. Kama wewe hauhitaji tafadhali waache wenye uhitaji coz wanajijua.

Kiufupi coding kwa upande wangu nimejifunza mimi mwenyewe bila kwenda chuo na kila siku bado najifunza coz nyanja hii ukilala kdg mambo mengi sana yatakupita. Nilipitia njia ngumu kwa sababu hamna aliekua anaelewa ninachosoma wakati naanza na pia discouragements zilikua nyingi sana, nilikua sina mtu wa kumuuliza wala wa kunipa guide. Baadae nikaacha shule na mengine yashakua historia, ila yote hayo ni kwa sababu nilitaka muda mwingi wa kujifunza software development kwa upana wake.

Kwa sasa najua kona nyingi kwenye hii field hivyo kama wewe ni mwanachuo unasoma computer programming au IT, au una interview ya kazi yyt ya IT au unataka tu kujifunza Software development basi LET'S WALK TOGETHER THROUGH THIS STORM.

Kujifunza coding wewe mwenyewe sio ngumu kwa sababu materials ziko nyingi sana za bure mtandaoni kuanzia w3schools, tutorialspoint etc....... Lakini wengi wanashindwa kuweza kwa sababu hii kitu inahitaji COMMITMENT kubwa na utulivu.

Nafahamu vitu vingi kiasi kwenye hii field so hapa chini nitaweka list na jinsi nitakavyokusaidia. Ila kama ukihitaji kujua kitu kingine kuhusu Software Development ambacho sitokiweka hapa chini basi usisite kunifuata PM au unaweza kuweka comment yako kisha nitareply. Nimezipanga katika courses na kwa kila kozi nmeelezea utajifunza nini.

NB: KWA WALE WENYE UHITAJI WA KUJUA CODING LAKINI COMMITMENT YAO KWENYE KUJIFUNZA NI NDOGO MSIJALI COZ SOLUTION YA HILO GONJWA NINAYO NA INAWEZA KUKUSAIDIA ENDAPO KWELI UNA UHITAJI WA KUJUA NA KUMASTER CODING


1)BASIC ANDROID DEVELOPMENT (Tsh 50,000 Per week, for 3 Weeks Total 150K)
---Hapa muhitaji inabidi awe na computer yake kisha baada ya hizo wiki tatu ataweza kutengeneza Android App inayoweza fanya mambo mengi kama vile notebook, Alarm, Content management, Apps zinazoload web contents za kuzionesha kwa user etc.....

---Nitakusaidia Kumaster android Studio na kukupa mwanga wa jinsi ya kupata kazi za coding kwenye sites kama upwork etc.....

--- Utapata resources zitakazo kusaidia kujiendeleza zaido kwenye hii field.


2)ADVANCED ANDROID DEVELOPMENT(100K per week, 4 weeks Total 400K)
---Hapa tukimaliza utakuwa na uwezo wa kutengeneza hadi chatting apps, music & video players, na apps nyingi zinazo-utilize features kubwa kubwa za Android.
---Muhitaji inabidi awe na PC angalau yenye core i3 processor na 4gb RAM
---Nitakuonesha pia machimbo ya kazi za Android devs ambazo unaweza fanya ukiwa getto tu na ukala dola angalau 100 kwa wiki kama kweli utamaster Android Dev.

3)FULLSTACK WEB DEVELOPMENT with CSS, HTML5, Javascript & PHP only(300K)
Hii haina limit ya wiki lakini nitakuelekeza mpaka tufike sehemu unaweza tengeneza crone ya web ya JF au fb. Pia nitakuelekeza machimbo ya kupata deals za kazi kama hizi na kukupa guide ya nini inabidi uwe nacho ili kupata deals zaidi.

PIA KWA WALE WANACHUO MNAOHITAJI PROJECTS IDEA AU MNATAKA KUONYESHWA JINSI YA KUFANYA PROJECTS ZENU ZA SOFTWARE DEV UNAWEZA KUNITAFUTA PIA.



MWISHO:
Software development ina hela lakini inabidi ujue vitu kweli kweli ndipo utaiona hio hela. Wengi ni script kiddies na wanakatia tamaa katikati hivyo utakuta watu wengi waliosomea IT vyuoni bado ni jobless mitaani. Nimekaa na wanachuo wengi wanaosoma computer programming lakini hadi nakua nasikitika sana na kujiuliza huko chuoni wanasoma nini sijui. Mtu kamaliza degree na kwenye syllabus inaonesha kasoma Web dev, Java, C++ lkn hawezi kuzitumia hata kutengeneza GUI App ndg ndg tu.


Program hii nimeandaa kwa watu wenye uhitaji na iko valid kwa wiki tano tu kuanzia kesho coz nitakua free so muda mwingi nataka kutumia kuelekeza wale wenye uhitaji na hii issue. Kufikia Tar 20 March hii issue itakua Invalid. Pia kama mtu unaona bei ni kubwa lakini una uhitaji kweli wa kujua coding na unadhani utamaster na una kichwa chepesi basi nifuate PM tujue namba ya kufanya

NB:MAWASILIANO YOTE YAFANYIKE PM

Cc PutinV Z1LNUX_P01S0N
Basic Android development in 3 weeks? [emoji15] Kwa mtu asiyejua chochote? Hapo si atakua ana cram tu bila kujua nini cha kufanya. Alaf pia unatumia language gani? Kotlin or Java

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basic Android development in 3 weeks? [emoji15] Kwa mtu asiyejua chochote? Hapo si atakua ana cram tu bila kujua nini cha kufanya. Alaf pia unatumia language gani? Kotlin or Java

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri.

Mtu kama hana idea kabisa na coding hawezi kuanza na android dev moja kwa moja so hio course ni kwa wenye mwanga upande wa web kdg lkn hawajui android dev na wanataka kuanza.

Kwa mtu ambae ni fresh beginner nitamove nae polepole na kumpa full support baada ya hizo wiki kuisha.

Natumia Java sio kotlin
 
Huu Uzi kama mzuri hivi, ila bei zimechangamka
Haaahaaa kwa hii knowledge hio bei ndg sana mkuu.

Lakini nmesema natoa consideration ya bei kwa walio na nia kabisa ya kujua na kumaster coding na wana uhakika wako na vichwa vyepesi
 
Mwenye Google Play Console nanunua bei kuanzia laki 5 , iwe na angalau mwaka mmoja, na app hata moja ndani, ikiwa na keystore itakua poa zaidi, nicheki 0718474600 kama unayo
 
Back
Top Bottom