Yaani naamini mtoa mada kama c mchawi ni mnafiki na maisha yake yote yanategemea kuishi kama mtego unaosubiri kufyatuka, hata nanyi mlochangia kuweka open cv ya mtu pasipo mahali cjapenda, au mto mada ni mzee sana sasa anaona wivu kijana barubaru kukalia kiti, suala km hili limeshanikuta mimi najua uchungu wa kujana kumpiku mzee, au alimshinda ktk interview? Mada km hizi zinakata stimu kuzikuta great thinker, ziende FB jamani, kasoma norway kasoma Udsm inakuhusu nini, tena huyu jamaa atakuwa Bright sana maana ukiona kijana kala shavu km hili ina maana wazee wamekubali, pata picha bunge la sasa lilivo imara lkn hakuna malalamiko juu ya hili, au umezoea kuona wabunge vijana hujawahi kuona wskurugenzi vijana. Hapa c mahali pake lkn wasomi vijana na ni wakurugenzi list ni kubwa, we umetumwa tena nina shaka huna akili timamu, unanichosha tu kukuelimisha wakati unamatatizo, hata niandike encyeclopedia britanica hautaelewa. Wasalimie wazembe wa kufikiria km wewe