Duh hiyo imetulia sana kwa mbunge wangu wa ubungo, kifupi ukitaka kujua mtu wenye akili we angalie matokeo yake ya form four tu.
Ukikutana na mtu ana PHD then matokeo ya form four ana FOUR ya nguvu basi utajua tu MAGUMASHI.
Form Four (1998) Maua Seminary div 1 point 7, A (tisa)9, out of 10 subjects!
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
Mimi ni shabiki wake pia lkn sipendi ukweli unapopindishwa kwenye jambo lolote si siasa peke yake,BBA alijiunga ambapo ilikua ni kozi ya jioni akiwa na umri 24 huku akiendelea na siasa lakini hakumaliza mpaka sasa,maua sem ni kweli div 1.7,Tambaza 3 ya mwanzo,alikua open university sina uhakika kama tayari au..sisemi kwa ubaya.
Sijui nimuamini yupi hapa, labda huyu mwenye sura nzuri NOT ENOUGH, ndio maana huwa napenda kuwepo mwenyewe kwenye matukio.Maua Seminary ni sawa ila Tambaza na UD umechakachua, Tambaza alipata Div 2 weak na UD alifanya LLB
Anastahili!
TAMBAZA ALIPATA Div 2:10, alikuwa hajatulia na masomo, c mnakumbuka ezi zile za TYVA (Tanzania Youth Vision Association) kipindi kile ziara za nje ya nchi zilizidi. Nakumbuka alikataa kujoin UDSM B.COM FULL TIME APATE MUDA WA KUFANYA MAMBO YAKE ndio akaenda BBA Evening! Kifupi Mnyika yupo safi kichwani!form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
Mnyika ni jembe, wenzie maua seminary walikuwa wanamwita J.J (jay jay)tembelea website ya bunge, utamfahamu zaidi J.J
Hi wadau!
Mimi ni mmoja wa naomuunga mkono na hata kukubaliana sana na mambo mengi ya kimaendeleo pamoja na uongozi wake mbunge wa Ubungo mh. Mnyika ila sijafanikiwa kupata cv yake nakuweza kumfaham vizuri hasa kwa upande wake wakielimu yoyote mwenye kujua kindly help.
TAMBAZA ALIPATA Div 2:10!
Mkuu hujaliona bunge jioni ya leo, dogo mkali sana yule. Lisu nae jembe!Mbona kwenye mjengo kule Dodoma huyu Mnyika na wabunge wengi mayanki wamekuwa mabubu na hawashi ule moto kama wa akina Zitto? So far mimi namfagilia Lissu na Zitto
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
Hivi hawa wanaosomaga seminari kuna siri gani? kutoka div one pwenti seven hadi two , kuna jamaa alikuja shule yetu(
Milambo Wanaume) na pwenti saba zake kutoka maua kichwani alikuwa mupu hadi walimu wakawa wanamtania muuza feki.