Form Four (1998) Maua Seminary div 1 point 7, A (tisa)9, out of 10 subjects!
<br />Asset kwa Taifa la Magwanda
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
Much respect JJM!
Mkuu if you can please, tinaomba tipatie ya Mh. Godbless Lema!
tembelea website ya bunge, utamfahamu zaidi J.J
Wakuu heshima.
Kati ya wabunge vichwa John Mnyika yumo.Kijana mdogo hana papara anajua anachokifanya hakika akiendelea na mwendo huu atafika mbali sana.Natamani sana John Mnyika kama angekuwa mbunge wangu kuna baadhi ya mambo hayaendi sawa sawa.
Much respect JJM!
Mkuu if you can please, tinaomba tipatie ya Mh. Godbless Lema!
nimekugongea like,,,
hakika leo umenena hujawa bias kama faiza foxy!
hapo kwenye greeen hapo si umeshajipatia jibu kuwa kusoma ni aded advantage unataka tukushambulie kwa lip wakati umeshajipatia jibu.Nyie wasomi, tatizo lenu ni hilo. CV ya nini, kama mtu anafanya kazi inayoridhisha inatosha. Ukienda mitaani walalahoi wanalalamika kuwa wasomi ndio walioifikisha nchi hii kwenye umaskini. Ndio wezi wakubwa. mafisadi wa CCM wote ni wasomi. Hivyo usomi katika kuongoza nchi siyo ishu kubwa, ni uadilifu wa mtu. Tukija kwenye theatre ya kupasua moyo, hapo tuongee CV, sio kwenye mambo ya hekima kama uongozi (ingawa kusoma kunaweza kuwa added advantage!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!) Najua mtanishambulia, kazi kwenu.
Mkuu angalia hapo chini:-
LAKINI
Tusitumie ku-drop out kwa hawa watu kujiliwaza au kuona kwamba akili na busara sio ingredients za mafanikio...... "Huwezi ku-run kampuni kama Microsoft bila kuwa na something upstairs...
Hakika namkubali huyu mheshimiwa.Hata hoja zake tu ndani ya bunge utajua tu kwamba hayuko pale kwa kubahatisha.
Respect Mnyika!
<br />Form 4 Division 4 point 30 then udalali wa madini kwenye vichochoro vya Arusha
Kumbe na huku watu mnaongelea Mnyika alipata divisheni ngapi form four na form six. Naona mnazuzuka kweli na hizo divisheni.[/QUOTE
Si ndio hapo sasa!! Hawajui kua hayo madivisheni yanaweza kutengenezwa?!?