CV ya John Mnyika


sema tu alichezea disco na kutimuliwa ndio ukawa mwaisho wake
 
A level huyu kijana alisoma na mpwa wangu ambaye daima humwelezea kwamba jamaa yupo vizuri kichwani
 
AKILI NI nini?dvsn one sikigezo kinachoweza mpima mtu kuwa anaakila au hana coz mtu anaweza akawa kilaza na akapata dvsn hiyo one piakusoma ni target knaufundi wake so japokuwa siwezi kubaliana au kukataa maoni yenu bnafsi ila nivematuache ushabiki na kujihoji kwanza na pia kujiuliza katumiaje nafasi aliyopewa kwa wakazi wa jimbo lake ktk shughuli za kimaendelea?KWANI KWA SASA HATUTAKI KUFAHAM HUYU NI NANI BALI AMEFANYA NINI CHA MAAANA AMBACHO KITAKUMBUKWA JAPO NA WACHACHE AU WATU WENGI.nasiokusema eti ni genius tu kisa dvsn one tena aliyoipata kwa mitihani ya wiki moja wakati alizoma kwa miaka 4
 
We hangaika na cv. Umeona ya prof. Muhongo? Kazi yake na uadilifu wake vipi?
Achaaa kabisa
 
Haya subiri tuone. Maana uliyoyatabilia yametimia sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona sisi wengine tuna one za 7 na 1ya 3 na GPA 4.8 na tupo huku katavi tunalima mpunga inamaana sie hatunazo?
 
Elimu ya darasani na Elimu ya kitaa ni vitu viwili tofaiti kabisa... Nitaanza na Elimu za watu watatu hivi...

Elimu ya Pro Macho kodo au Prof wa jalalani,imeleta impact gani katika jamii yetu?? Zaidi yakuonyesha kumbe elimu kubwa si kitu,si chochote... Zaidi Prof Macho kodo anajidhalilisha tu mbele za watanzania tuliomwamwini,kua kwa elimu yake atakuja kua mkombozi wa baadhi ya shida za watanzania hasa kwenye mambo yakisheria...

Elimu ya Prof Pumba kila mtu anajua alichofanya tangu uchaguzi wa 2015,yeye na genge lake,ndiyo wamekiuwa chama cha CUF... Huyu anayofanya na ambayo alishafanya hapaswi kabisa kuitwa Prof....

Elimu ya ndg yetu,Raia number moja,nasikia ana Phd,lakini sielewi alipataje hiyo Phd,maana kwenye kuandika thesis yake,alitumia lugha ya malkia,lakini mwambie hivi sasa aongee fluently hata dakika 3,ni shida.... Mambo anayofanya ni tofauti kabisa na elimu yake...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyika yuko vizuri, mwambieni Dr bashiru Ali afanye mdahalo na John Mnyika
 
Mkuu,nakuomba unywe maji mengi halafu ukiona gari hapo karibu na kwako panda tu mwenyewe.Hapo home waambie unaenda kuwasalimu wahenga "Mabwepande"!Huna Imani na "ilmu" ya "senior citizen numero uno"?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…