duh...kule kwa matapeli wa kichaga??Unahisi atakua kaokotwa wapi jombaa?
Au kule Tabata dambo?
Ni kweli ukiingia linkedin ndio utaview profile yake vizuri na baadhi ya qualification zakeNasikia alikua kwenye benchi la ufundi la hull city ya England sijui kama ni kweli!!
Kweli jamaa alikuwa hull city but anabahati mbayaMwogope Mungu mkuu,labda hull city ya Msoga!!
Ndio hvyo mkuuSasa sii ni bora aichukue Ruvu Shooting aipaishe kwanza ili ajenge CV home?
Wametukosea sana watanzania alafu wanaongea na tabasamu kubwaa,kweli huyu jamaa ni mkavu balaaHivi ni nani alimteua huyu jamaa?
When did qualifications start to be the criterion for selection as Kilimanjaro’s chief trainer?Does he have qualifications to lead the team successful? Maana kutoka ulaya au kusoma ulaya sio kigezo
That is where we get it wrong....kama kila Tom, Dick and Harry could do the job.When did qualifications start to be the criterion for selection as Kilimanjaro’s chief trainer?
Kumbe!Ɓacelona ni ƴa uhuru siƴo mabatini
Spider ya nn wapande malori yale ya ngombeNingekua mm ndiye rais wa TFF ningeagiza ticket za ndege za staz wapewe Zanzibar heroes Kisha staz wadandie Spider bus back home "manina"
View attachment 648651
Mwenye CV yake atuwekee buana!
Kichuya babaaa............Yawezekana tatizo likawa ni kocha pia,maana nasikia muda wote yeye ni kuongea kingereza tuuuuu,sasa unadhani Kichuya anajua 'kidhungu'?