KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,147
- Thread starter
-
- #21
Mimi nilichotaka kufahamu ni kwamba alianza darasa la kwanza lini na wapi na akamaliza mwaka gani na wapi,na baada ya hapo kama alifanikiwa kujiunga na sekondari ilikua lini na wapi na akamaliza mwaka gani then high school kama nako alipita pita kabla ya kuingia chuo kikuu ilikua mwaka gani mpka gani na chuo kikuu alisomea kitu gani na kuhitimu mwaka gani kabla ya baadae kwenda huko aliko sasaSaid Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.
ndio hata mimi nashangaa,naona jamaa atakua hana cv yeyote labdawekeni basi hiyo cv.
CV please,mbona za wengine huwa tunaziulizia,lengo ni kuhakiki kama ni kilaza au la,maana inawezekana ukawa mpiganaji lakini kilaza tu
E eeeh!basi yameisha jamani maana leo ntapewa kila sababu mradi tu cv isiwekwe hadharani,angekuwa mbunge ningekwenda kwenye tovuti ya bunge nikaicopy cv yake na kuipaste hapa ili kuepusha shari hii,tatizo tukimpenda mtu huwa kuna mambo hatupendi kuyasikia kumhusu,kuna siku mwenzetu mmoja alihoji cv ya slaa,weeee alijuta kuhoji naona leo mimi mmenistahi tu mpaka sasa sijapokea tusi lolote,nashukuru,kwaherini bandugu cv yake ntaitafuta pahala pengine then ntaiweka hapa ikiwemo hii english course anayopiga sasa huko ughaibuniCV mbona unayo? angalia kazi zake au unataka kuangalia vyeti vyake? Kuna wengi wana vyeti kama hivyo lakini hamna kitu.
sijaelewa ulitaka kusema nini,kuna yeyote aliyemuelewa huyu bwana alichotaka kusema anisaidie pengine,maana naona kaweka kiswahili ile ya kibororonyi
Ahaaa ok kwa hiyo kaamua kunihukumu kwa kutumia hisia tu,poa.Nadhani ana maana kwako wewe Kubenea hawezi kuwa shujaa,,huwezi kumrefer kama shujaa,,maana yake anahisi chembechembe za unafiki ktk uzi wako
Huyu shujaa haitaji CV zaidi ya kazi nzuri anayofanya. Hivi unajua kwa wale ambao wamesoma na vibatari anaweza asionekane na A's katika vyeti kumbe mazingira tu ndiyo yalimfanya asifaulu vizuri na pale ambapo anapata upenyo akiwa mtu mzima anatoka kwa first class? Hivi unafahamu kuna watu ambao walipata post za ualim kidato cha nne only because hawakuwa na facility kama zako wewe uliyesoma Academy? na baadaye wanakuwa professors? Nina mifano mingi, na kwa taarifa maprofessor wengi wameanzia ualimu!!! Na kuna ambaye ni Professor medical na alikuwa secretary and one of our high profile fimale executive katika serikali yetu was also a secretary at one the key ministry and now is a Doctorate fellow? Hivyo CV zaweza kupotosha na ndiyo hata wale waibaji wa vyeti vya NECTA nao utasema wana akili kwa kuwa vinasomeka Division One? Performance yako na vyeti vyako ni subjective!!!!!
Hizo ndio ndoto zako, pole saana utasubiri sana!!!! Said Kubenea ni mwandishi mahiri saana hana wasiwasi na Dr Slaa kuchukua nchi labda wewe na EPA ZAKO!!!Said Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.
In short, S. KUBENEA hana CV, kwa kuwa hata akiandika itakuwa mstari mmoja tu! Alimaliza shule ya msingi kule Mafia, kisha akaja Dar na Bagamoyo kufanya utapeli! Kwa kuwa ana ujanja wa mjini, waandishi wakawa wanamtumia kutafuta story! Kisha akabadili dini na kujiunga CHADEMA, sasa anasomea Uinjilisti kule UHOLANZI![/QUOTE ] weka zako
Wewe ni kajanja nenda jambo leo katukuze mchwa nawe ukila kwa macho? Tindikali yataka ujsiri.
KIM K. Weka na ya kwako basi.
aah! jamani, mbona za wengine zinawekwa adharani! tuekeeni jamam
Alaah kumbe iko hivyo,sasa yale mambo ya kuitana vilaza huwa yanatoka wapi au yanakujaje?maana nape na wngine ndio huitwa vilaza,ni kigezo kipi basi hutumika?au walio nje ya system yenu cdm wotu tu ndio vilaza?
Achana nao tatizo wengi ni waoga humu ndani