HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 549
kila la kheri subiri mtu aitishe cv ya nape ndio urudi tena si ndio mambo mnayopenda kusikiauko hapa uonekane unafanya kazi au umejituma tu kwa hobby zako .hatuko tayari vinginevyo anzisha mada ya mvuto badala ya kujadili kubenea ,unapoishi bila shaka yapo matatizo yanayoikabili jamii husika yaweke hapa tutaunga hoja mkono ,hili la kuchokonoa watu nasema no THANK YU
Tatizo letu tumewekeza sana kwenye makaratasi badala ya performance....ndio maana tutazidi kupigwa bao kwenye soko la ajira za kimataifa.....CV yake ni kazi anayofanya na kama unamkubali ni shujaa hiyo ndiyo CV yake kwani wapo wanaoweza kuwa na elimu kubwa kuliko yeye lakini wakashindwa kufanya ayafanyayo....
Huyu shujaa haitaji CV zaidi ya kazi nzuri anayofanya. Hivi unajua kwa wale ambao wamesoma na vibatari anaweza asionekane na A's katika vyeti kumbe mazingira tu ndiyo yalimfanya asifaulu vizuri na pale ambapo anapata upenyo akiwa mtu mzima anatoka kwa first class? Hivi unafahamu kuna watu ambao walipata post za ualim kidato cha nne only because hawakuwa na facility kama zako wewe uliyesoma Academy? na baadaye wanakuwa professors? Nina mifano mingi, na kwa taarifa maprofessor wengi wameanzia ualimu!!! Na kuna ambaye ni Professor medical na alikuwa secretary and one of our high profile fimale executive katika serikali yetu was also a secretary at one the key ministry and now is a Doctorate fellow? Hivyo CV zaweza kupotosha na ndiyo hata wale waibaji wa vyeti vya NECTA nao utasema wana akili kwa kuwa vinasomeka Division One? Performance yako na vyeti vyako ni subjective!!!!!
Said Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.
acheni uduwanzi nyie, wapeni wadau cv ya kibaraka huyo wa cdm. Elimu bila cheti maanake nini?
Kwanini mnafanya jitihada za makusudi namna hii kujaribu kuficha cv yake?kuna kitu gani hamtaki kijulikane?mbona ya ephraim kibonde tuliililia mpaka mwiso wake zikapatikana results zake za mtihani wa form four,why not kubenea,yeye ana nini mpaka aachwe?
Said Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.
Acha chuki na unafiki wewe.....khaaaaaaIn short, S. KUBENEA hana CV, kwa kuwa hata akiandika itakuwa mstari mmoja tu! Alimaliza shule ya msingi kule Mafia, kisha akaja Dar na Bagamoyo kufanya utapeli! Kwa kuwa ana ujanja wa mjini, waandishi wakawa wanamtumia kutafuta story! Kisha akabadili dini na kujiunga CHADEMA, sasa anasomea Uinjilisti kule UHOLANZI!
Said Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.
A degree and degrees are not skills.Kuna jamaa zangu wengi tuu wamehitimu degree za ualimu(science).Lakini hawawezi kuandaa solutions za practicals.Huwaomba msaada jamaa zao wenye diploma.Tuwe makini na degree za kuchonga(fake).