CV ya watoto wa Massaburi

nimetumia google kutafuta shule walizosoma ni S.1796 DR.Didas Massaburi secondary school walimaliza 2007 na kwa mujibu wa National examinations council of Tanzania matokeo yameandikwa hivi "RESULT HAVE BEEN WITHHELD/CANCELLED"
 
hili suala si kwa kuwa wanafundisha cho cha baba yao so ni stahili yao,, hapana!! pale wanadeal na watoto/wadogo zetu ambao watatoka pale wakitarajiwa wakatumikie umma na kudeliver. so ni muhimu kufahamu cv zao kama wanastahili kweli kukufunzi? mwenye nazo aweke jamvini tafadhali
 

Wanakuzingua tu hao, hakuna hata anayewajua hao watoto. Ni bora ungetafuta njia nyingine ya kupata
majibu yako. Mi nilipita tu...
 
Kwa nini usiende hapo chuoni na kuomba hizo CV? Unadhani sisi tutazipata wapi?

Hata mimi namshangaa kweli CV za watu tuzitoe wapi huyu jamaa bana kama anataka kwenda kusoma hapo atazikuta hapo hapo
 
Ili mwanafuzi afaulu vizuri na aweze kutumia elimu yake kwa manufaa ya taifa lake ni lazima apatiewe mafunzo na mwalimu mwenye sifa zinazotakiwa, hicho chuo kinafundisha taaluma ya manunuzi, kama watatoa watu feki maana yake hata watakapoajiriwa wataharibu tu. Ndio hao wanaofanya manunuzi bila kufuata sheria na kutuletea mitambo feki, watakuja kuliingizia taifa hasara kubwa baadae.
Ni vizuri kufahamu kama walimu hao wanautaalam wa kutosha sio kukusanya ada za watu bure.
 
sioni sababu za msingi za kujadi cv za awa vijana coz chuo kimesajiliwa na serikali chini ya NACTE, mpaka hapo tukiendelea kudadisi bila kufuata taratibu ni kuhalalisha majungu ndani ya jf ambayo hayajengi jamii bali kubomoa. siasa ya baba sio siasa ya watoto, kama shida ni baba mtu basi atafutwe baba mtu sio watoto wasiokuwa na hatia katika siasa na wanaotafuta maisha kama vijana wengine. mkitaka kudhibitisha uhalali, ufanisi na CV ya watoto hawa watafuteni wahusiuka wa NACTE waliotoa kibali cha kuwepo kwa chuo hiki. Karibuni IPS Chanika tusomee Ugavi
 
Hao watoto nilisoma nao green acres kuanzia 2004 mpaka 2006 walipohama na kwenda kwenye shule na baba yao matokeo yao ya form 4 hayaridhish walimaliza 2007.sasa pga hesabu mtu amalze mwaka huo mwaka huu aje kuwa lecture hii nchi deo alipata div 3'kama sikosei mwenzake john alipata 4.
 
wadau mwenye cv ya watoto wa massaburi,deograius massaburi na john massaburi aimwage hapa maana hawa watoto eti wanafundisha kwenye chuo chake kiitwacho instistute of procurement and supply-chanika ngazi ya certificate na diploma .

Ukimaliza omba na ya watoto wa JK unaowataka kuwajua pia.......
 
CV au personal profile kuwa publicly exposed ni jambo la kawaida sana! Lakini kwa culture ya watanzania wanaona ni big deal. Hasa kwa mtu ambaye ni qualifications zake questionable.
Kuna profile za watu zikimwagwa hapa inaweka heshima kwao na wanaanza kutafutwa wapewe job offers za maana! Lakini kuna za wengine zikimwagwa hapa ...basi kama inakuwa ni mwanzo wa yeye kuozea jela au heshima yake kushuka ghafla.
 
<br />
<br />
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…