Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Nchi hii ina sheria against employment discrimination, sasa kwa nini tunafumbia macho hili tatizo la waajiri kutaka kujua personal information za job applicant ambazo zinaweza kusababisha discrimination?
Nitume picha, najijua nina sura mbaya, kwa hiyo sijaomba kazi ya u-model, picha yangu ya nini? Na hii habari ya kutaka niweke umri na mahala nilikozaliwa ya nini, ujue kabila langu ili iweje?
Nchi za wenzetu zimeshaachana na mpango wa kuandika personal biography kwenye resume (CV).
worst-things-to-put-on-resume-fins: Personal Finance News from Yahoo! Finance
Nitume picha, najijua nina sura mbaya, kwa hiyo sijaomba kazi ya u-model, picha yangu ya nini? Na hii habari ya kutaka niweke umri na mahala nilikozaliwa ya nini, ujue kabila langu ili iweje?
Nchi za wenzetu zimeshaachana na mpango wa kuandika personal biography kwenye resume (CV).
worst-things-to-put-on-resume-fins: Personal Finance News from Yahoo! Finance