siamini kama kuna kitu kama hicho ila yatakuwa hayo ma Nothing GOING On (aka NGOs) yenu tu
MSD,NHIF,PSPF,GPSA,SUMATRA,NECTA,THE INSTITUTE OF JUDICIAL ADMIN-LUSHOTO na NIDA-Ni NGO hizo?????siamini kama kuna kitu kama hicho ila yatakuwa hayo ma Nothing GOING On (aka NGOs) yenu tu
Hapana nawabishia, na nakupinga kwa kila chembe ya uhai wangu, sivumilii discrimination.dude.. u want a job just do it... usiwabishie