CV za Wabunge Wapya Chadema


Nasikitika sana kama kuna watanzania wanajiita wasomi hata hawajui maana ya CV wanafikiri elimu ndiyo Cv elimu ni sehemu tu ya Cv Kushindwa Form II haina maana huyu ni mtu asiyefaa katika jamii. Mchango wake kwenye jamii ndiyo kitu cha maana na ndicho cha kuangalia kwenye CV kuna watu maarufu duniani leo hii ambao wamefanya mambo makubwa sana katika jamii yetu na yenye maana sana na hata mengine yamewezesha mimi na wewe tuweze kuchangia mwawazo yetu na maoni mbalimbali leo hapa. Mfano Bill Gate aliwahi kushindwa sehemu fulani katika MCHAKATO wa elimu na aka( drop class). Hebu tuwapime watu kwa uwezo wao na mchango wao katika kuleta maendeleo katika jamii na si vinginevyo. Kuna watu wanajiita wamesoma sana wana GPA za nguvu, ni ma dokta, Professa na kadhalika. Lakini hawana maana yoyote katika jamii elimu yao ni sawa na zero kwani haina Impact yoyote kwenye jamii na pengine wamechangia kudidimiza jamii. Maoni yangu ni kwamba jambo lolote la maana ambalo hawa wamefanya au watafanya katika kubadili jamii maskini ya watanzania ndiyo kinatakiwa hapa na si vinginevyo lakini kama unataka kuandika porojo unaidanganya nafsi yako.
 
mbona waziri mkuu mstaafu sumaye alienda chuo baada ya kustaafu u waziri mkuu? Na pamoja hakuwa na huo u-dk kama wa mkwere naweza kusema perfomance yake ilikuwa nzuri kupita viongozi wengi wa ccm ya sasa.
 


Nakupa tano.....
Kuongoza hakuhitaji uwe prof. Hata Mrema aliperfom vizuri kushinda viongozi wengi sasa,haya mkwere ni dr anafanya nn? Magufuli alifanya vizuri kabla ya kuwa dr
 
Sifa za kugombea ubunge Jamhuri ya muungano wa Tanzania hizi hapa;
Sifa za mgombea Ubunge

  1. Awe raia wa Tanzania
  2. Awe na umri wa miaka 21 au zaidi
  3. Awe ni Mwanachama na ni Mgombea iliyependekezwa na Chama cha Siasa
  4. Awe hajatiwa hatiani na Mahakama yoyote kwa kosa la kukwepa kulipa kodi katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya Uchaguzi
  5. Awe anajua kusoma na kuandika katika Kiswahili au Kiingereza

    Lameck Airo mbunge wa Lorya ame fuzu hizo sifa ndo maana akapata tiketi ya CCM na hatimaye kuwa mbunge wa Jimbo hilo.
Je Godbles Lema hana hizo sifa???????? .
 

no comment hapo umewaweza ni kweli kinacholeta maendeleo ni sera si elimu hata yesu hakuwa na degree ila alifanya makubwa
 
Je yule aliyegomea midaharo na wenzake CV yake ikoje!! akafanya wa kwake peke yake nako ikawa taaaaabu!!
 
Tuszungumzie hao tu hebu chimbueni CV za wafuatao: Deo Sanga(jah people), profesa majimarefu, Richard Ndassa, Idd Azan, Abbas Mtenvu J Komba
 


Jamani mmeulizwa CV, sio elimu. Nijuavyo mimi elimu ni just a subset ya CV. Maybe anataka kujua contact zao, au referees wao, au umri wao. Tumpatie CV, halafu yeye atajua anataka kipengele kipi katika CV. Mimi sina CV ya hata mmoja wao.
 
Halafu wote walioleta maendeleo katika nchi hii ukiitazama elimu yao ni ndogo, ila wasomi ndio wametuleta hapo tulipo, katika taabu na dhiki hadi tunakumbuka tulikotoka Misri.



Heri nionekane muongo kwa kusema ukweli, kuliko kuwa mkweli kwa kusema uongo! :hungry:
 
A curriculum vitae is a typically a "living document" which will reflect the developments in a a professional's career, and thus should be updated frequently.
 

Kwa nini usianze na za wa CCM kwanza? ambacho ndicho chama tawala?
Ninakuletea ya Aishey Hillary Mbunge wa ccm - sumbawanga
1-hakumaliza darasa la saba
2-baba yake akahonga na akiwa secondary hapo hapo sumbawanga (mazwi) akiwa form four akafukuzwa shule kutokana na uvutaji bangi, ubakaji, ulevi na ujambazi
3-alimtia mimba mtoto wa secondary form two, akamkatisha masomo yake.
4-Ni mshenzi ni bahati mbaya hata CCM NI CHAMA CHA KISHENZI KWA SASA NA NDIYO MAANA KINAPOKEA WASHENZI KAMA HUYU MSHENZI.

need I say more???
 


Naomba niungane nawe kwa kusema shule co ishu tunachotaka niwatu watakaoweza kusimamia masilah yetu bila woga. Tumekuwa na wasomi km akina Chenge na wengine km hao lakini wao ndo wametufikisha hapa tulipo. mbona Brazil walikuwa na Rais Lula da Silva ambaye hakusoma lakin ndiye anasifika kwa kujenga uchumi wa nchi hiyo katika historia ya brazil ,hakusoma lakn leo hii nani hafahamu mafanikio ya Brazil. Kutaka CV za wabunge wetu ni sawa lakin kwa kuwachagua nazan tumeridhika na uwezo wao, tusubir utendaji wao natuwape sapoti mara watakapohitaji ushirikiano wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…