CWT Certificate of "Agreement of Failure"

MARCKO

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
2,258
Reaction score
275
Wana jamii,

Jana (tarehe 24/07) tuliambiwa kwamba CWT walishindwana na serikali tarehe 20 July 2012. Hivyo leo tar 25 July baraza la usuluhishi wangeipa CWT certificate ya "agreement failure" ili wajuwe ni lini wataanza mgomo wao.

Kwa anayefahamu naomba kujua kwa anayefahamu kama kuna kipya CWT wamekitoa!

NAWKILISHA
 
leo cwt wamepewa certificate ya kushindwa kuelewana na serikari na kwa hatua hiyo walim wameanza kupiga kura zao leo za kuunga mkono mgomo kura hizo zitapigwa kwa siku 2 yaani leo na kesho then cwt watatangaza what next, stay calm mr.
 
leo cwt wamepewa certificate ya kushindwa kuelewana na serikari na kwa hatua hiyo walim wameanza kupiga kura zao leo za kuunga mkono mgomo kura hizo zitapigwa kwa siku 2 yaani leo na kesho then cwt watatangaza what next, stay calm mr.

Haya bwana nguna ya asubuhi. Tuhabashe wengind tuko mbali sana.
 
vijamaa vinaogopa makwezi ya rama na msangi
 
Nani anabisha kua mshahara haujachelewa? Na ninani ana uhakika kama serik haitanyima kabisa?
 
Leo kituoni kwetu muwakilishi wa cwt mkoani kaja na akasema tupige kura ya maoni ya kukataa au kukubali mgomo.
 
mbona mikoani hawajatoa fomu wangepeleka ili wale wenye uchungu wasaini maana kodi ya mshahara tu inashawishi watu wagome
 
mbona mikoani hawajatoa fomu wangepeleka ili wale wenye uchungu wasaini maana kodi ya mshahara tu inashawishi watu wagome
tanzania kwa njia ya MIGOMO inawezekana!!! songeni mbele wakuu......
 
Leo kituoni kwetu muwakilishi wa cwt mkoani kaja na akasema tupige kura ya maoni ya kukataa au kukubali mgomo.

Yani nyie bado tu!. Ijuma saa 3asubuhi yanatakiwa cwt makao makuu wapewe mjumuisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…