Ndugu wanajamvi,
Nimejaribu kusearch kwenye internet kuona kama naweza kupata taarifa mbalimali hasa katiba yao kwenye internet sijafanikiwa.
Kwa mwenye kufahamu anijuze,kwasababu kwa karne hii CWT wangepaswa kuwa mtandaoni na waweze kujibu na kusaidia walimu kwa njia rahisi zaidi kuliko kutafuta ofisi zao mikoani na wilayani ambapo maranyingi huwezi kuwakuta,zaidi ya ni makatibu muhtasi tu.