A
Anonymous
Guest
Kumekuwa na uonevu mkubwa sana wa CWT UBUNGO ikilazimisha kuwakata walimu mishahara kama michango ya chama bila idhini ya wahusika Wala makubaliano.
Na hata wanapoomba kusitishwa Kwa michango hiyo hawasikilizwi au kupewa mlolongo mrefu wa namna ya kujitoa au hutolewa ndani ya muda mfupi Kisha hurudishwa tena kwenye makato bila idhini. K
wamba Wana uwezo wa kucheza na mishahara ya walimu wanavyotaka na hakuna ushirikiano unaotolewa na mwajiri dhidi ya malalamiko hayo. Sheria ya kazi na ajira ya mwaka 2004 inamtaka mtumishi kuwamo kwenye chama cha wafanyakazi alichoridhia na si vinginevyo. Lakini imekuwa kinyume Kwa walimu kwani wamenyimwa uhuru na Haki ya kuchagua kuwa wanapopataka.
Tunaomba mtusaidie kufatilia hili swala maana imekua kero kwa walimu wengi ikiwemo Manispaa ya Ubungo
Na hata wanapoomba kusitishwa Kwa michango hiyo hawasikilizwi au kupewa mlolongo mrefu wa namna ya kujitoa au hutolewa ndani ya muda mfupi Kisha hurudishwa tena kwenye makato bila idhini. K
wamba Wana uwezo wa kucheza na mishahara ya walimu wanavyotaka na hakuna ushirikiano unaotolewa na mwajiri dhidi ya malalamiko hayo. Sheria ya kazi na ajira ya mwaka 2004 inamtaka mtumishi kuwamo kwenye chama cha wafanyakazi alichoridhia na si vinginevyo. Lakini imekuwa kinyume Kwa walimu kwani wamenyimwa uhuru na Haki ya kuchagua kuwa wanapopataka.
Tunaomba mtusaidie kufatilia hili swala maana imekua kero kwa walimu wengi ikiwemo Manispaa ya Ubungo