Cyber crime: Msaada wa ushauri wa Kisheria na Hatua za Kuchukua

Cyber crime: Msaada wa ushauri wa Kisheria na Hatua za Kuchukua

Alluu

Senior Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
127
Reaction score
142
Kuna utapeli unaoendelea mitandaoni, unaohusisha baadhi ya watu fungua kurasa/pages/Accounts za Instagram kwa kutumia picha za watu wengine (innocent) huku pages hizo zikiwa na maudhui ya kudhalilisha. Kama kuna yeyote ambaye anaweza kushauri njia nzuri ya kisheria ya kuchukua against watu kama hawa, ikiwemo taratibu za kufungua cyber crime case file na defamation claim kwenye vyombo vya sheria, naomba tupeane ushauri hapa ili kuwashikisha adabu watu wenye tabia hizi
 
Kuna utapeli unaoendelea mitandaoni, unaohusisha baadhi ya watu fungua kurasa/pages/Accounts za Instagram kwa kutumia picha za watu wengine (innocent) huku pages hizo zikiwa na maudhui ya kudhalilisha. Kama kuna yeyote ambaye anaweza kushauri njia nzuri ya kisheria ya kuchukua against watu kama hawa, ikiwemo taratibu za kufungua cyber crime case file na defamation claim kwenye vyombo vya sheria, naomba tupeane ushauri hapa ili kuwashikisha adabu watu wenye tabia hizi
Hizo picha wamezitoa wapi?
Sio kila kitu cha ku-post kwenye mitandao.
 
Back
Top Bottom