Cyprian musiba a.k.a mzee wa mwibara yuko wapi?

Cyprian musiba a.k.a mzee wa mwibara yuko wapi?

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Wanajamvi ni siku nyingi sasa simuoni wala kumsikia mzee wa mwibara ktk anga za habari na michezo kwa ujumla. Ninapenda kujua huyu bwana yuko wapi.....?
 
mpigie simu mkuu au nenda Tarime utamkuta kula
 
Cyprian musiba yupo dar-es-salaam anajihusisha na siasa baada tu kura za maoni kutotosha kule mwibara alibaki katika siasa za kawaida tu kwa kuwa amezaliwa ndani ya ccm na kulelewa na ccm na atabaki kuwa mwanaccm..namba yake ni 0716323201 tuma sms itamfikia
 
Back
Top Bottom