Cyprian Musiba: Mpina anatekeleza Ilani ya CCM, kuna wahuni ndani ya CCM na serikali

Cyprian Musiba: Mpina anatekeleza Ilani ya CCM, kuna wahuni ndani ya CCM na serikali

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.

Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
 
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.
Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
Damu ya Membe inakulilia?!! Hivi umelipa fidia kwenye familia!!
 
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.
Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
Hili ni jambazi pure limeandikwa usoni JAMBAZI!!
 
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.

Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
Karudishwa kwa Kazi maalum.. Asijisahau sana ataliwa kichwa mazima
 
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.

Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
Amefufuka Musiba?kweli amefufuka vibaya Akili TIMAMU zimeisha hata Akili aliyokuwa nayo zamani nayo kanyang'anywa.
 
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.

Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
Musiba is just a rubbish man.
 
Kuna kundi la wahuni ndani ya ccm , pole pole katibu mwenezi alisema
 
Mwanaharakati Cyprian Musiba amedai kuwa kuna watu wasiokuwa na nia njema ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikalini, akiwataja kama "wahuni." Musiba ameongeza kuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amejitokeza kama mkosoaji ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa si lazima wakosoaji wote watoke nje ya chama, kama vile CHADEMA, bali CCM wenyewe wanapaswa kukosoana na kurekebishana pale panapohitajika.

Kwa mujibu wa Musiba, Mpina anatekeleza majukumu yake kwa kufuata Ilani ya CCM, ambayo inaelekeza viongozi kuwajibika kwa wananchi na kukosoa pale penye mapungufu. Hii inamaanisha kwamba kukosoa serikali si jambo la vyama vya upinzani pekee, bali hata wanachama wa chama tawala wanayo haki ya kutoa maoni yao na kushauri njia bora zaidi za uendeshaji wa Serikali.

Soma zaidi:
==>
Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
==> Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!
==> Dkt Nchimbi: Tofauti ya Mpina na WanaCCM au Wabunge wengine ni tofauti ipo kwenye Familia yoyote
Hapo umenena Musiba.👏👏

Tatizo la CCM ya kileo ni kuwa hawataki kabisa kukosolewa pale wanapofanya madudu.

Wanachotaka hawa viongozi wa CCM wa kileo ni kusifiwa tu Kwa kwenda mbele.

Hata kama mwanaccm mmoja atamuona mwanaccm mwenzake akiwaibia wananchi, mabilioni ya pesa, akae kimya kabisa bila kuthubutu angalau kukemea tuuu😳

Hii CCM ya leo ni tofauti sana na Ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa kuwa Kwenye CCM ya wakati ule watendaji wa serikali, ambao maeneo yao ya kazi yaliboronga, waliwajibika Kwa kujiuzulu.

Refer mfano unaoishi wa Ali Hassan Mwinyi, aliyejiuzuku miaka Ile ya 70, Kwa mauaji Yale yaliyotokea maeneo ya Shinyanga.

Sasa fanya comparison na nyakati hizi , ambapo Mzee Ali Kibao, ameshushwa Kwenye basi, mchana kweupe na kesho yake mwili wake ukakutwa ameuawa!

Hata hivyo katika serikali ya CCM ya sasa, Waziri wa Mambo ya ndani, Yusuph Masauni na IGP Camilius Wambura, wamegoma kabisa kujiuzulu na aliyewateua naye kagoma kabisa kuwatengua😳
 
Kukosoana ni jambo jema, lakini cha kushangaza wakati ule alipokuwa anakosolewa mwendazake kwa sera zake za ovyo ni huyu huyu Musiba aliyekuwa anaona wakosoaji walikuwa na nia ovu dhidi ya Magufuli.
Hana zaidi ya UNAFIKI
 
Hili shoga ndiyo mida yake ya kupiga hela za CCM na vigazeti vyake vya kipumbavu
 
Back
Top Bottom