D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Kwameh am done arguing with you bro! Toka juzi uunaleta ulalamishi wa mambo hayo hayo, nakujibu kesho yake unaibuka tena na hoja zile zile.. Kama umeisoma story nashukuru, kama umeinjoy nafurahi kama hujaenjoy nakushauri anzisha Uzi wako isimulie vile unaona itapendeza zaidi! Nitakuja kuisoma, nitalike na kucomment.. Nimefunga huo mjadala
 
Mkuu achana naye huyo, hawa ndo wale wanafunzi hadi anafika darasa la saba hajui kujumlisha wala kutoa.
 
... Nimefunga huo mjadala
Mjadala unafungwa pale thread nzima inapositishwa, hujawa Tulia Akson wa kufunga mijadala ki mamlaka. Kama hujajibu hoja, kama umechemka, of course utaendelea kuhojiwa.

Umetoa madai ya kubuni kwamba Boeing 727 hairuki zaidi ya 10,000ft ndio maana Cooper aliichagua. Lazima utakuwa called out.

Umetoa madai ya kutunga kwamba Boeing 727 inaweza ku controliwa speed and altitude kutokea nyuma kwa abiria "manually," kitu ambacho ni absolutely bizarre and unheard of. Farasi na punda ndio wana controliwa speed and direction manually kutokea nyuma kwa abiria. Sio ndege yenye cockpit na mlango wa kuzuia abiria wasiingie kwenye cockpit.

Ndege zote zingetekwa kama kungekuwa na access ya ku control ndege "manually" kutokea upande wa abiria. That's the most bizarre thing ever said in the history of social media, you gonna be called out for sure.

Umeongeza vichorombwezo ambavyo havipo kwenye hadithi inayojulikana kimataifa.
 
Mkuu hiki ninachokiona hapa unafanya kutafuta kick kwa uzi wa jamaa,wa kisasa wanasema.

Nikuulize machache.

Unaijua hii story kabla ya kuisoma hapa?????

Kama ni ndio swali hapo juu,wanini hujawahi ileta tukaisoma?????

Wewe ndio unajua sasa kwamba ndege haina access opp kwa abiria,huu mlango huyu kamanda aliwezaje kuufungua????? Au twambie sasa kwamba story yoooote ni uzushi.

Maana hakuna kitu kama hicho.
 
ilikuwa 1971,adjust na inflation leo ni inakuwa hela nyingi sana
 
tungepata historia ya huyo suspected db cooper tutaweza mpata mhusika labda...
 
Mkuu the bold naomba link ya kuzisoma story zako zilizokuletea sekeke
 
story nzuri,

kwa wanaihitaji mnaweza ipata hapo chini fuata hiyo link;

Hijacking of Flight 305 by D.B. Cooper: CASE CLOSED!
 
jamaa anaonekana mbishi. mimi nimeisoma hii habari kwingine kabla hujaiweka hapa, inafanana kwa 99%.
 
Mkuu the bold naomba link ya kuzisoma story zako zilizokuletea sekeke
Mkuu nenda kwenye profile yangu alafu angalia orodha ya thread nilizoandika, pekua pekua thread nilizoandika mwaka 2014 utaziona tu hizo ninazozingumzia!! Kuweka link hapa naona kama naweza kurudisha tena attention ya watu kwenye zile mambo hahahhah
 
Mimi mwenyewe nimeshamshtukia kuwa ananiletea ugigi money apate umaarufu kupitia huu uzi ndio maana nimempuuza tu sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…