Divine..., glory to yhwh, Nifah, BansenBurner, Alisen, Papushikashi, Magazine Fire, miss chagga, succinate coA hydrogenase, SANCTUS ANACLETUS, mngony, Excel, Mussolin5, Jimena, Inferiority Complex, gwijimimi, wambura marwa, Hoshea, Shareef Conscious,
[emoji15] [emoji23] [emoji23] duuhh!Mkuu hapo FBI walibidi waje JF watampata.....
Hahahahahaha!! Itabidi tuongee vizuri mkuu kuhusu mchuchu huyo..Mtoa uzi huu umeoa nina dada mzuri saaana nikupee
Nashukuru mkuu..Duh.....utadhani nipo jumba LA sinema.......mkuu
Umetisha sana, story imetulia.
Mkuu The BoldNifuraha kusambaa kwa maarifa... View attachment 394868
Hahahahaha!! Mkuu huko mimi simo"DB cooper ni Gaidi hewa wananchi mpuuzeni"
Kwa sauti ya Mtu fudenge
Hapana! Watu wawili tofauti..Mkuu The Bold
Are we missing something here? are you and Yericko one and the seme person?
Mbona chapisho lako na la yericko yamefanana kila kitu umedesa kwake??Hapana! Watu wawili tofauti..
Well, nilichoelewa ni kwamba Yericko Nyerere ameshare hii stori ya Cooper kutoka humu kwenye mtandao mwingine au ameikuta huko watu wanaijadili.. Ndio maana ameandika "Nafurahi kusambaa kwa taarifa"Mbona chapisho lako na la yericko yamefanana kila kitu umedesa kwake??
Kwa mjibu wa yericho yeye ndio aliiandika, mwaka 2015Well, nilichoelewa ni kwamba Yericko Nyerere ameshare hii stori ya Cooper kutoka humu kwenye mtandao mwingine au ameikuta huko watu wanaijadili.. Ndio maana ameandika "Nafurahi kusambaa kwa taarifa"
Ndicho nilichoelewa..
Anyways, hii post imesambaa sana hata huko whatsapp so ukiikuta usishangae, but kumbuka writer ni The Bold
Nifuraha kusambaa kwa maarifa... View attachment 394868
Bold kubali ww ndo ulichukua kwa yericko kwa sababu ya yericko ipo toka last yearWell, nilichoelewa ni kwamba Yericko Nyerere ameshare hii stori ya Cooper kutoka humu kwenye mtandao mwingine au ameikuta huko watu wanaijadili.. Ndio maana ameandika "Nafurahi kusambaa kwa taarifa"
Ndicho nilichoelewa..
Anyways, hii post imesambaa sana hata huko whatsapp so ukiikuta usishangae, but kumbuka writer ni The Bold
Iko wapi mkuu na mimi nikaione??? Hiyo itakuwa ni miujiza ya karne..Kwa mjibu wa yericho yeye ndio aliiandika, mwaka 2015