D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Possibly ame back date kama maelekezo haya yanavyosema

how to backdate your post on WordPress blog

Beginner's Guide: How to Back Date Your WordPress Posts

 
Hao FBI wakati wanarudia hiyo safari i mean walipouvaa uhusika wa jinsi ile ndege ilivyosafiri waka set na mda ule ambao marubani walisema walisikia sauti kuashiria mlango ulifunguliwa na cooper halafu wakaenda ku deal na sehemu hiyo waliyoibashiri kuwa ndio yenyewe naona walikosea sana kwa sababu wakati cooper anadondoka kwa parachute huenda alienda kutua sehemu ya mbali sana au alisubiri kwa mda hapo mlangoni ili kuwapoteza wapelelezi halafu akaenda kudondokea sehemu ya mbaaali kimya kimya.
Ila siwapondi sana hao FBI kwa sababu hilo eneo walilokua wanahisi cooper kadondoka walilichunguza sana bila mafanikio na eti wakaja kutapa pesa baadae sana tena sio zote.
Wangelikua wajanja wangemkamata yule dogo aliezichimbuz hizo pesa halaf wamchunguze vizuri pamoja na wazazi wake ikiwezekana wapewe adhabu kali ili waseme ukweli, huenda cooper alikua anawafatilia aone watafanyaje na baada ya kujua wame concentrate mahali flani yes akaenda kuchimbia hapo hizo hela ili kuwazima kabisa.

FBI wangepaswa wawabane wale watu watatu waliobaki kule kwenye ndege ili kujua ukweli zaid kwani huenda muvi ilichezwa vizuri tuu na wahusika i meen marubani wawili, fundi na huyo dada walicheza game kuwapoteza FBI.
Pia kwa ninavyo fahamu pesa inavyopendwa sio rahis cooper azichimbie zile pesa, huyu itakuwa kuna kibaraka wake alimuambia usizitumie hizo pesa zimechukuliwa serial number ndo maana nasema hii ni game tuu wala hao FBI wasikune vipara sana.

Au kwa upande mwingine hawa FBI walitaka kuupotosha ulimwengu tuu. Hakuna ukweli wowote wa hilo jambo ni research walikua wanafanya na pia huyo cooper atakua aliwasoma mda akajua hii ndio njia ya kuwakabili ili wakipitia hii njia wasinipate na pia mtu kama huyo atakua ni FBI ambae kalizunguka FBI ili kujitest na yeye anaweza?
Pia kwa zile ndege zilizokua zinafuatilia itakua kuna fitina ili fanyika kule maana wangeona tuu mtu akidondoka hata kama ni usiku wingu limetanda na giza bado taa zingemwilika au basi kama vipi hiyo hali ya hewa ilifanya asionekane basi.
 
Soma story ya mleta uzi pesa zilgundulika baada ya miaka 8 🙂 tena kwa kuokotwa na mtoto
Na wwkaprove kuwa ni mtu alichimbia
Ok sawa... Lakini lengo la kuchimbia pesa kule porini lilikuwa ni lipi??
 
Infantry inawezekana kabisa alibaki ndani ya ndege lain ndege ilishusha abiria na mizigo yao kabla ya kuondoka na pesa pia ndege ilikuwa chini ya uangaliz mara baada ya kuondoka na fedha pia ingechezwa na team ingekuwa imejulikana kwan watu cwengi walifanyiwa utafiti wakiwemo waliohusika wote kuanzia abiria kituo wstumishi wandege na fbi wenyewe
 
Mkuu bold nimeona lile dude lako jingine mzee sasa nimekuelewa

Naomba kufuta kauli yangu rasmi kama hii story ulicopy kutoka kwa yerico nyerere

Nisamehe bure next time ni tag tena kama ulivyofanya
 
Mkuu bold nimeona lile dude lako jingine mzee sasa nimekuelewa

Naomba kufuta kauli yangu rasmi kama hii story ulicopy kutoka kwa yerico nyerere

Nisamehe bure next time ni tag tena kama ulivyofanya
Hahahahaha!! Nashukuru sana mkuu..
Sitasahau kukutag nikishusha nyingine
 
Hingera sana uko vizuri mkuu, tuelezee japo kwa ufupi story ya yule jamaa aliyeteka ndege ya Misiri mwanzoni mwa mwaka huu
 
[emoji14] [emoji14]
 
Nimefarijika sijaona bandiko la ulalamishi kama kawaida yetu utasikia lakini ndefu badla yake watu wanataka mdau atiririke awamu ya pili haaa haaa.
Ile kitu ni true story utapata vp ulalamishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…