D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Mkuu hii nayo kiboko
D.B. Cooper
Albert Spaggiari
Carl Gagasian (mr. Friday Night)
Hawa ni watu wakali sana na historia zao zinavutia sana

Big up the bold

Ukija na nyingine usisahau kunitag mkuu[emoji122] [emoji122]
 
Mkuu hii nayo kiboko
D.B. Cooper
Albert Spaggiari
Carl Gagasian (mr. Friday Night)
Hawa ni watu wakali sana na historia zao zinavutia sana

Big up the bold

Ukija na nyingine usisahau kunitag mkuu[emoji122] [emoji122]
Nashukuru sana Mkuu! Ntakutag nikiweka nyingine
 
Mkuu bold hakika you have made my day with this fascinating story. Sometimes unaweza jiuliza hivi binadamu kweli wote tupo sawa? Inawezekana vipi mpango kama huu utekelezwe na mtu mmoja tena kwa akili kubwa sana? Embu angalia leads zote ambazo FBI walizokuwa wanazipata kutokana na uchunguzi wao zilikuwa hazizai matunda yoyote. Cooper kaiba pesa nyingi na hajawahi kutumia ( Nia ya huo ujambazi ni nini sasa?) Hakika nimenyoosha mikono
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kuna watu wanadhubutu kufanya jambo wakiwa wamejipanga vyema sana safi sana Cooper FBI wenyewe wamekaa
 
Hii str ya D.B cooper huwa haichosh kusoma.......... Na mwka 2021 anatoaka jela mr Friday night bank rober nae aliitingsha USA kwa wizi wake wa kutumia 2 min kuiba benk.....
 
Mkuu kuna kitu kinanichanganya kuhusu huyo D.B copper wa kwnye prison break ndo yule alificha hela chini ya ardhi baadae ikaja kujengwa nyumba ya yule mama na walipotoka mission yao ikawa kuzisaka hela si ndio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…