D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Iko mahal yake
 
Ukishirikisha ubongo hakuna kisichowezekana ila naisi huyu jamaa lazima alikuwa mtumishi wa kampuni za ndege
 
Huyo John Dillinger ni nani mwenye historia yake anijuze au kuna watu washaiweka hapaJf
 
Nadharia inaonyesha bwana Cooper ni CIA aliyeshiba vzr! Leta kituuuuuuu
 
Kibongobongo hiyo "Cooper Vane" ingepewa jina la Mwanasiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…