Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Kama ilivyotokea kwa Mnyeti kukiri kuwahujumu wapinzani na hatimaye JPM kukunwa na utendaji wake na kumpandisha cheo kutoka u DC hadi u RC. Sasa njiia ni nyeupe kwa DED WA Tunduma, inasemekana wiki ijayo atakuwa RC wa mkoa wa Katavi au Songwe.