ebayzanzibar
Member
- Mar 8, 2013
- 6
- 0
.HABARI WANA JAMII
mimi nimhitimu wa kidato cha nne, ningependa kujua taratibu za kupata nafasi
ya kujiunga na DIT AU MIST, DIPLOMA. sikuchagua kupangiwa tech collg kabla
ya kufanya mtihani, je naweza kupangiwa kwa wakati huu na serikali??
pia ningependa kujua taratibu zote za kujiunga hapo kwa yeyote anaefahamu.
ninavo vigezo vya credit zinazohitajika hapo.
ahsanteni.
mimi nimhitimu wa kidato cha nne, ningependa kujua taratibu za kupata nafasi
ya kujiunga na DIT AU MIST, DIPLOMA. sikuchagua kupangiwa tech collg kabla
ya kufanya mtihani, je naweza kupangiwa kwa wakati huu na serikali??
pia ningependa kujua taratibu zote za kujiunga hapo kwa yeyote anaefahamu.
ninavo vigezo vya credit zinazohitajika hapo.
ahsanteni.