Nadhani ACID anajua alipo huyu dada!Naamini Mungu mwenye huruma, mwingi wa baraka na rehema, alimwazesha Da Sophy kajifungua salama...
Nakumbuka mara ya mwisho alikuwa hapa akisema kuwa mimba imepitiliza kidogo.
Kwa anayefahamu aliko amwambie tunammiss, tena tuma ham ya kumpa hongera zake. Ajitokeze...
kama ulivyofanya majuzi eeh?woooow kumbe ukibana watafutwa hiviiii!!!!!!!!!!!! basi na mi ntajipoteza,,,,
Nadhani ACID anajua alipo huyu dada!
Mimba nyingine zinakaa miaka Mitatu.... Akijifungua atakuja hapa kutujuza...
Askofu unapoteza kumbukumbu za waumini wako....Da Sophy ana mtoto wa kiume, mwenye double chin kama babu yake!
We ndo babu yake?? asante kwa info... Mleteni nimbatize
kama ulivyofanya majuzi eeh?
Vibaya sana hivyo mrembo mwanana!
Hata 'maulana hapendi kuwatoroka waja wenzio !
Naamini Mungu mwenye huruma, mwingi wa baraka na rehema, alimwazesha Da Sophy kajifungua salama...
Nakumbuka mara ya mwisho alikuwa hapa akisema kuwa mimba imepitiliza kidogo.
Kwa anayefahamu aliko amwambie tunammiss, tena tuma ham ya kumpa hongera zake. Ajitokeze...