Daah mjeda ANAJUA MENGI, sasa mpeleleze kama anahata picha za matukio hayo ama nyaraka hata moja kuweza kujustfy hilo.
Kwakua mimi najua waliiba , ila ushahidi umekua haba
Ahsante sana mkuu... umenichekesha sana mbavu sina ... ni kweli. Masoja (hasa hawa wa ranks za chini wana fix sana.Inawezekana kweli JK alichakachua maana vurugu zinazoendelea ndani ya magamba inaonekana wazi mshikaji aliumizwa sana na matokeo hayo hadi kufikia hatua ya kutaka kujua chanzo ni nini. Lakini nawashauri muwe makini na huyo msoja maana baadhi ya wajenda hasa wa vyeo vya chini wanapenda sana fix. Msije kuingia mkenge bana. Kwani hamjasikia wanavyosimulia mafanikio yao kule Anjuane (Sikumbuki vizuri jina lakini ni Commoro) wakati inasemekana hata risasi hazikutumika kwa kuwa yule jamaa alisepa mapema.
So tunaongozwa na MWIZI!
Exactly!!!
Exactly!!!
haya majungu kwa sasa hayana nafasi. leta post zenye tija na wakati uliopo.kwani hicho ni kilio cha mbwa aliyekosa,hubaki anabweka tu mbweko ambao haumsaidii boss wake.subiri ushuhudie muanguko wa ukweli kwa chama chako uchaguzi ujao.huyo mjeda huenda ulikuwa unaongea nae akiwa amepuliza msokoto wa bangi na likiwa linamkolea.jitahidi kuleta post zenye manufaa zaidi kwa mtanzaniaHabari wana jf
ninaye mjomba wangu mjeda kikosi cha navy nilikuwa sijaonana naye tangu uchaguzi uishe.
Basi nilianza kumuuoiza kuhusu siasa wao kama wajeda wanamsimamo gani na hali ilivyo sasa? Akanza kuniambia kuwa wanajeshi wote wa ngazi za chini hawaifagilii ccm na serikali yake mengi wanakuwa commanded na wakubwa wao. Akasema hata uchaguzi mkuu jk alinguka vibaya na wajeda waligawanyika sana lakini wakubwa walikomand masanduku ya kura ya bebwe kwa kutumia magari ya jeshi kwani huwa hakuna mtu wa kuhoji.
Haya kaka Nape tumekusikia! Una swali la nyongeza?haya majungu kwa sasa hayana nafasi. leta post zenye tija na wakati uliopo.kwani hicho ni kilio cha mbwa aliyekosa,hubaki anabweka tu mbweko ambao haumsaidii boss wake.subiri ushuhudie muanguko wa ukweli kwa chama chako uchaguzi ujao.huyo mjeda huenda ulikuwa unaongea nae akiwa amepuliza msokoto wa bangi na likiwa linamkolea.jitahidi kuleta post zenye manufaa zaidi kwa mtanzania